Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

Nianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.

Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.

Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.

Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.

Mtu maskini akizaa mtoto anaongeza maskini mwingine duniani na anaipa serikali mzigo mzito wa kugharamia ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.

Wazazi maskini huzaa watoto kwa dhana uchwara kwamba
"watoto ni baraka" Lakini ndio haohao wa kwanza kutekeleza familia zao, kukwepa majukumu na uwajibikaji na wengine hufikia hatua hadi ya kuua au kujiua wao na familia zao kwa kigezo kwamba maisha ni magumu.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hili dunia, Tambua kwamba, Maisha hayajawahi kuwa marahisi, Maisha si rahisi na Maisha hayatakuja kuwa marahisi kwa watu wazembe, wajinga na maskini.

Ewe kijana kabla hujafungua hiyo zipu yako kuleta watoto, Tambua kwamba Dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako. Jipange na hakikisha uko vizuri kiuchumi.

Ewe binti kabla hujapanua hayo mapaja, tambua kwamba dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hii dunia, tambua kwamba una wajibu wa kuhudumia na kulea hicho kiumbe wewe mwenyewe, Sio kulia lia kuanza kusumbua watu, ndugu, jamaa na marafiki wakusadie malezi, pesa au mahitaji kwa wanao uliozaa wewe mwenyewe.

Mwanaume kama unajua huna uwezo wa kuhudumia funga hiyo zipu. Mwanamke kama unajua huna uwezo wa kuhudumia usivue chupi.

Hakuna mtu anakusaidia kuzaa watoto kwenye hii dunia.Vivyo hivyo Usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.

Watoto si baraka, Na Hakuna Mungu wa kuja kukusaidia kulea wanao. Kama una hii dhana futa huko kichwani. Ukishaleta mtoto kwenye hii dunia tambua kwamba wewe mwenyewe ndiye utawajibika kuhudumia.

This world 🌍 is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.

I'm out.
NAKUBALI!!!! NAKUBALI!!!!! MKUU UMEMALIZA KILA KITU KWA HESHIMA YAKO NIMEANDIKA KWA HERUFI KUBWA KUONYESHA MSISITIZO🙏

PIGA NYUNDO ZA UTOSI MPAKA DAMU ZITOKE KWENYE HIZI BLACK KENGE ZISIZOSIKIA UKWELI ZENYEKUOTA MIUJIZA PUMBAVU KABISA👍😂😂😂😂

NILIKUWA NATAFUTA MWENYE AKILI NA MAONO KAMA YANGU. HONGERA SANA, HILI NI BANDIKO BORA SANA LA KUFUNGIA HESABU ZA MWAKA NA KUFANYIA TAFAKURI MALENGO NA MIPANGO YA KILA MMOJA WETU.🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏
 
NAKUBALI!!!! NAKUBALI!!!!! MKUU UMEMALIZA KILA KITU KWA HESHIMA YAKO NIMEANDIKA KWA HERUFI KUBWA KUONYESHA MSISITIZO🙏

PIGA NYUNDO ZA UTOSI MPAKA DAMU ZITOKE KWENYE HIZI BLACK KENGE ZISIZOSIKIA UKWELI ZENYEKUOTA MIUJIZA PUMBAVU KABISA👍😂😂😂😂

NILIKUWA NATAFUTA MWENYE AKILI NA MAONO KAMA YANGU. HONGERA SANA, HILI NI BANDIKO BORA SANA LA KUFUNGIA HESABU ZA MWAKA NA KUFANYIA TAFAKURI MALENGO NA MIPANGO YA KILA MMOJA WETU.🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏
Hawa waafrika wanapaswa kufahamu kwamba hakuna mtu au supernatural power yeyote ile, itakuja kuwasaidia shida zao na familia zao.

Vijana wanakurupuka kuzaa huko, Halafu umaskini ukisha watwanga kisawasawa wanakuja hapa JF kulia lia na kuomba ushauri.
 
Wamuulize hata diamond platinumz basi hawashauri mondi kapata mtoto wa kwanza Akiwa na mafinikio ana uhakika wa maisha kashapitia maisha ya msoto sana Sasa watu hawajifunzi
Hawa waafrika hasa waswahili wanadhani kuleta watoto duniani ni kama kuangua maembe mtini.

Ndio maana umaskini na ukapuku vina watwanga kisawasawa.

Watoto ni gharama, si baraka.

Halafu unakuta lijitu hilohilo linalo sema "watoto ni baraka" halitunzi familia.

Unajua waafrika wanapaswa kucharazwa viboko kufundishwa malezi ya watoto ndio waelewe.
 
Hawa waafrika wanapaswa kufahamu kwamba hakuna mtu au supernatural power yeyote ile, itakuja kuwasaidia shida zao na familia zao.

Vijana wanakurupuka kuzaa huko, Halafu umaskini ukisha watwanga kisawasawa wanakuja hapa JF kulia lia na kuomba ushauri.
kuna wengine wamefungua uzi hapo wanaambizana kuwa angalau kama umefika miaka 30 uwe na mtoto, yaani unajiuliza hivi kwa aina hii ya raia kuna kutoboa kweli🥴😁😁😁

Mtu mwenye ana miaka 30 lakini hana reasoning wala critical thinking ya kufanya daily expenses za mtu mmoja kwenye house hold na akaona kuwa uzazi ni changamoto. Mtu huyu unategemea atagundua nini kwa mfano????

Unakuta mtu yeye mwenyew kula balanced diet hawezi amejaa magonjwa na utapiamlo lakini bado yupo anakazana kuleta vitoto aje avilishe ugali na wali alafu tunaanza kujiuliza mbona mitoto yetu haina ubunifu😂😂😂😂😂😂😂😂pumbavu maskini acheni masihara hamna miujiza bila kujipanga!!!!
 
kuna wengine wamefungua uzi hapo wanaambizana kuwa angalau kama umefika miaka 30 uwe na mtoto, yaani unajiuliza hivi kwa aina hii ya raia kuna kutoboa kweli🥴😁😁😁

Mtu mwenye ana miaka 30 lakini hana reasoning wala critical thinking ya kufanya daily expenses za mtu mmoja kwenye house hold na akaona kuwa uzazi ni changamoto. Mtu huyu unategemea atagundua nini kwa mfano????
Kwanza kama mtu kafika umri wa miaka 30 na hawezi hata kujihudumia yeye mwenyewe , Huyo hafai kabisa hata kuzaa watoto.

Atakuja kuwatesa bure na kuendeleza umaskini kwenye jamii.
 
Kwanza kama mtu kafika umri wa miaka 30 na hawezi hata kujihudumia yeye mwenyewe , Huyo hafai kabisa hata kuzaa watoto.

Atakuja kuwatesa bure na kuendeleza umaskini kwenye jamii.
Hawa watatuletea MALAYA,WEZI,VIBAKA,OMBAOMBA,CHAWA NA MAJAMBAZI.

Kama umesikiliza hotuba ya mstaafu kwenye msiba,,,,,,hamna miujiza kufika position ya kukaa cabinet au kuwa kwenye system ya wafanya maamuzi kama hujaandaliwa na waliokutangulia😄😄😄maskini tutaendelea kuwa walimu huko halmashauri na maafisa mifugo na uvuvi.
 
kuna wengine wamefungua uzi hapo wanaambizana kuwa angalau kama umefika miaka 30 uwe na mtoto, yaani unajiuliza hivi kwa aina hii ya raia kuna kutoboa kweli🥴😁😁😁

Mtu mwenye ana miaka 30 lakini hana reasoning wala critical thinking ya kufanya daily expenses za mtu mmoja kwenye house hold na akaona kuwa uzazi ni changamoto. Mtu huyu unategemea atagundua nini kwa mfano????

Unakuta mtu yeye mwenyew kula balanced diet hawezi amejaa magonjwa na utapiamlo lakini bado yupo anakazana kuleta vitoto aje avilishe ugali na wali alafu tunaanza kujiuliza mbona mitoto yetu haina ubunifu😂😂😂😂😂😂😂😂pumbavu maskini acheni masihara hamna miujiza bila kujipanga!!!!
Huo Uzi WA kipumbavu nimeuona, anashauri mtu akiwa na miaka 30 awe tayari na mtoto hata asipokua na kazi, Yani awe na majukumu tayar halafu ndio aanze kutafuta kazi
 
Tukiacha suala la pesa ambalo lina kanuni zake kidunia, Kuna suala la kumjenga mtoto kihisia, wazazi wengi hatulijui hili suala.

Wazazi tuwe tayari kulea watoto kwa commitments za hali ya juu sana, Unakuta watoto wadogo wadogo wako heart broken💔
Hatuko tayari kwa huu mjadala.

Mleta mada ana hoja.
Maskini wengi hasa waafrika wanazaa hovyo hovyo tu bila mpangilio, Sijui wanategemea nani aje awasaidie kulea wanao?
 
Watoto ni baraka ili mradi uwe na Watoto ambao unaweza kuwapatia stahiki zao zote bila shida.
 
Nianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.

Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.

Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.

Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.

Mtu maskini akizaa mtoto anaongeza maskini mwingine duniani na anaipa serikali mzigo mzito wa kugharamia ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.

Wazazi maskini huzaa watoto kwa dhana uchwara kwamba
"watoto ni baraka" Lakini ndio haohao wa kwanza kutelekeza familia zao, kukwepa majukumu na uwajibikaji na wengine hufikia hatua hadi ya kuua au kujiua wao na familia zao kwa kigezo kwamba maisha ni magumu.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hili dunia, Tambua kwamba, Maisha hayajawahi kuwa marahisi, Maisha si rahisi na Maisha hayatakuja kuwa marahisi kwa watu wazembe, wajinga na maskini.

Ewe kijana kabla hujafungua hiyo zipu yako kuleta watoto, Tambua kwamba Dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako. Jipange na hakikisha uko vizuri kiuchumi.

Ewe binti kabla hujapanua hayo mapaja, tambua kwamba dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hii dunia, tambua kwamba una wajibu wa kuhudumia na kulea hicho kiumbe wewe mwenyewe, Sio kulia lia kuanza kusumbua watu, ndugu, jamaa na marafiki wakusadie malezi, pesa au mahitaji kwa wanao uliozaa wewe mwenyewe.

Mwanaume kama unajua huna uwezo wa kuhudumia funga hiyo zipu. Mwanamke kama unajua huna uwezo wa kuhudumia usivue chupi.

Hakuna mtu anakusaidia kuzaa watoto kwenye hii dunia.Vivyo hivyo Usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.

Watoto si baraka, Na Hakuna Mungu wa kuja kukusaidia kulea wanao. Kama una hii dhana futa huko kichwani. Ukishaleta mtoto kwenye hii dunia tambua kwamba wewe mwenyewe ndiye utawajibika kuhudumia.

This world 🌍 is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.

I'm out.
Hata wewe ulikuwa hasara kwa wazazi wako
 
Nianze kwa kusema Watoto si Baraka, Watoto ni Gharama.
Kabla hujafikiria kuleta kiumbe kwenye hii dunia tambua hili mapema.

Kabla ya kufikiria kuzaa watoto hapa duniani, Kaa chini wewe na mwenza wako mpange kabisa namna mtakavyo lea na kuhudumia watoto wenu hadi watakapo fika umri wa kujitegemea.

Kuna maelfu ya watoto maskini wanateseka sana hapa duniani kutokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa wazazi wanao zaa hovyo hovyo kama mapanya bila malengo wala uwezo wa kutoa huduma na malezi.

Na hili ni janga kubwa sana kwa nchi maskini hasa barani Afrika.

Mtu maskini akizaa mtoto anaongeza maskini mwingine duniani na anaipa serikali mzigo mzito wa kugharamia ujinga wake na umaskini wa kizazi chake.

Wazazi maskini huzaa watoto kwa dhana uchwara kwamba
"watoto ni baraka" Lakini ndio haohao wa kwanza kutelekeza familia zao, kukwepa majukumu na uwajibikaji na wengine hufikia hatua hadi ya kuua au kujiua wao na familia zao kwa kigezo kwamba maisha ni magumu.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hili dunia, Tambua kwamba, Maisha hayajawahi kuwa marahisi, Maisha si rahisi na Maisha hayatakuja kuwa marahisi kwa watu wazembe, wajinga na maskini.

Ewe kijana kabla hujafungua hiyo zipu yako kuleta watoto, Tambua kwamba Dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako. Jipange na hakikisha uko vizuri kiuchumi.

Ewe binti kabla hujapanua hayo mapaja, tambua kwamba dunia haina huruma na haitakuja kukuonea huruma wewe na kizazi chako.

Kabla mtu hujafikiria kuzaa watoto kwenye hii dunia, tambua kwamba una wajibu wa kuhudumia na kulea hicho kiumbe wewe mwenyewe, Sio kulia lia kuanza kusumbua watu, ndugu, jamaa na marafiki wakusadie malezi, pesa au mahitaji kwa wanao uliozaa wewe mwenyewe.

Mwanaume kama unajua huna uwezo wa kuhudumia funga hiyo zipu. Mwanamke kama unajua huna uwezo wa kuhudumia usivue chupi.

Hakuna mtu anakusaidia kuzaa watoto kwenye hii dunia.Vivyo hivyo Usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.

Watoto si baraka, Na Hakuna Mungu wa kuja kukusaidia kulea wanao. Kama una hii dhana futa huko kichwani. Ukishaleta mtoto kwenye hii dunia tambua kwamba wewe mwenyewe ndiye utawajibika kuhudumia.

This world 🌍 is not for the weak, ignorant, lazy and poor people.
You either go hard, go home or you die.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

Hakuna Mtu au Mungu wa kukuhurumia wewe na kizazi chako.

I'm out.
Huyu sasa ndio great thinker.
Sasa sie maskini lakini ujue burudani peke tunayoweza imudu ni kugegeduana na hivyo kuzaliana tutazaliana tuu.
 
Back
Top Bottom