Watoto wa 2000 bwana!! Eti Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Jaydee; really!?

Watoto wa 2000 bwana!! Eti Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Jaydee; really!?

Huna hoja wewe kwahyo mwanafA nae ni mtoto wa 2000 hao wanaondaa tuzo wamezaliwa 2000 au unapanic tu
Nakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.

Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.

Tofautisha kati ya kuimba nyimbo na kutengeneza nyimbo.

Kisabengo anaimba nyimbo akisaidiwa na genge lake na bwana yake.

Jay dee alikuwa anatengeneza muziki wakati huo hana genge la kumsaidia uandishi wala ma-computer mengi mengi ya kumsupport.

Uandishi wa jay dee ulikuwa ni full content, ikiwamo story telling na kuunganisha patterns za maandishi na melody za wimbo,

Huyu kisabengo wenu ni vluuuuuuuuu kama boda boda.
 
Nakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.

Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.

Tofautisha kati ya kuimba nyimbo na kutengeneza nyimbo.

Kisabengo anaimba nyimbo akisaidiwa na genge lake na bwana yake.

Jay dee alikuwa anatengeneza muziki wakati huo hana genge la kumsaidia uandishi wala ma-computer mengi mengi ya kumsupport.

Uandishi wa jay dee ulikuwa ni full content, ikiwamo story telling na kuunganisha patterns za maandishi na melody za wimbo,

Huyu kisabengo wenu ni vluuuuuuuuu kama boda boda.
Watoto wa 2000 wanapenda mziki wa matusi. Ni haki kusema vile.
Komando kamwacha mbali sana.
 
Ahahahah ndio maana nikasema huku tutafika mbali maana watoto wa siku hizi mtihami wa necta form 4 hesab wanaruhusiwa hata kuingia na calculator.

Watoto hata kutumia na kusoma four figure tables hawajui mpaka anahitim form 4
Wee unazungumzia four figure.......hata WAALIMU wao ni mtihani ni Kwa wema ya Mungu yani
 
Nakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.

Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.

Tofautisha kati ya kuimba nyimbo na kutengeneza nyimbo.

Kisabengo anaimba nyimbo akisaidiwa na genge lake na bwana yake.

Jay dee alikuwa anatengeneza muziki wakati huo hana genge la kumsaidia uandishi wala ma-computer mengi mengi ya kumsupport.

Uandishi wa jay dee ulikuwa ni full content, ikiwamo story telling na kuunganisha patterns za maandishi na melody za wimbo,

Huyu kisabengo wenu ni vluuuuuuuuu kama boda boda.
Jei Dee alikuwa anaimba KWAYA zile na nyimbo nyingine alikuwa anamfumbia Gardner..WANAUME KAMA MABINTI ndio nini sasa !
 
Back
Top Bottom