Watoto wa 2000 bwana!! Eti Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Jaydee; really!?

Watoto wa 2000 bwana!! Eti Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Jaydee; really!?

Jei Dee alikuwa anaimba KWAYA zile na nyimbo nyingine alikuwa anamfumbia Gardner..WANAUME KAMA MABINTI ndio nini sasa !
Kwani kama aliimba Kwaya na zikapendwa kuna shida gani ndugu?

Hata Kwaya za TOT PLUS ya Komba tulizipenda pia...
 
Back
Top Bottom