Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila akili inabaki akiliZuchu yuko vizuri sana zama zinabadilika sana, hata huko US kwasasa miziki mingi ni kusifia mademu na starehe kwahiyo akili zenu za miaka ile msilete sasa
Bahati nzuri huwezi kushindana na wakati, hizo akili zako hazina faida kwasasa maana Zuchu anapata show na airtime za kutosha , lady Jdee wakati umemtupa mkono na hakuna ambacho anaweza kufanyaI
Ila akili inabaki akili
Ujinga ni ujinga hata kama uuvalishe shanga
Upumbavu wenu ni wenu sio wetu.
Usiwashangae, hawakuwepo wakati bongo fleva ilipokuwa kwenye peak, jide na wengineNakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.
Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.
Tofautisha kati ya kuimba nyimbo na kutengeneza nyimbo.
Kisabengo anaimba nyimbo akisaidiwa na genge lake na bwana yake.
Jay dee alikuwa anatengeneza muziki wakati huo hana genge la kumsaidia uandishi wala ma-computer mengi mengi ya kumsupport.
Uandishi wa jay dee ulikuwa ni full content, ikiwamo story telling na kuunganisha patterns za maandishi na melody za wimbo,
Huyu kisabengo wenu ni vluuuuuuuuu kama boda boda.
Kwanza kumlinganisha na Zuchu ni kumkosea adabu Lady Jaydee pakubwa sanaIla kweli Jide aka Komando yupo juu kuliko Zuchu kiuandishi (Mashairi).
Dula dula anataka kulaAniii namuita aniii haonekani tafulaniiii. Haniiii🤣
Nyimbo za kina Zuchu zinawatia stress na depression tu Vijana wa afu mbili. Jide anakuimbia Faraja . Aisee it is ❤️ warming song 😊Huyo Zuku ni mwandishi wa mambo ya ngono tupu...yani hii minyimbo ya kizazi hiki ni laana
Wanawaza ngono tuu 24/7.....Nyimbo za kina Zuchu zinawatia stress na depression tu Vijana wa afu mbili. Jide anakuimbia Faraja . Aisee it is ❤️ warming song 😊
Acha tuu wanaeneza ajenda ganiiKweli kabisa
Kaliimba na ule wimbo wa kuchukua bwana wa mtu
Duuuh!!!