Watoto wa 2000 bwana!! Eti Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Jaydee; really!?

Watoto wa 2000 bwana!! Eti Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Jaydee; really!?

Hao akina Zuchu ni matokeo ya generations zilizopita kushindwa kuweka uelekeo na future ya Taifa.

Babu na Baba zao tuliendekeza ujinga na kufurahia ujinga wa watawala aka CCM matokeo yake ndio haya sasa.
 
Zuchu yuko vizuri sana zama zinabadilika sana, hata huko US kwasasa miziki mingi ni kusifia mademu na starehe kwahiyo akili zenu za miaka ile msilete sasa
 
I
Zuchu yuko vizuri sana zama zinabadilika sana, hata huko US kwasasa miziki mingi ni kusifia mademu na starehe kwahiyo akili zenu za miaka ile msilete sasa
Ila akili inabaki akili

Ujinga ni ujinga hata kama uuvalishe shanga

Upumbavu wenu ni wenu sio wetu.
 
I

Ila akili inabaki akili

Ujinga ni ujinga hata kama uuvalishe shanga

Upumbavu wenu ni wenu sio wetu.
Bahati nzuri huwezi kushindana na wakati, hizo akili zako hazina faida kwasasa maana Zuchu anapata show na airtime za kutosha , lady Jdee wakati umemtupa mkono na hakuna ambacho anaweza kufanya
 
Nakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.

Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.

Tofautisha kati ya kuimba nyimbo na kutengeneza nyimbo.

Kisabengo anaimba nyimbo akisaidiwa na genge lake na bwana yake.

Jay dee alikuwa anatengeneza muziki wakati huo hana genge la kumsaidia uandishi wala ma-computer mengi mengi ya kumsupport.

Uandishi wa jay dee ulikuwa ni full content, ikiwamo story telling na kuunganisha patterns za maandishi na melody za wimbo,

Huyu kisabengo wenu ni vluuuuuuuuu kama boda boda.
Usiwashangae, hawakuwepo wakati bongo fleva ilipokuwa kwenye peak, jide na wengine
 
Mimi napita tu jide yule anadunia yake kabisa...ata zikipingwa leo nyimbo za jide ata ikulu unaingia uku unasikiliza ngoma za jay dee ila uyo ndio zuchu ata ofisi ya balozi huwiingi 😃
 
Back
Top Bottom