passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
NikifaKizazi hiki kina wajinga wengi sana. Mimi wala sibishani nao maana hutawaweza.
Msanii anaimba nyumba ndogo ana hamasisha mabinti wawe michepuko
Nakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.
Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.
Tofautisha kati ya kuimba nyimbo na kutengeneza nyimbo.
Kisabengo anaimba nyimbo akisaidiwa na genge lake na bwana yake.
Jay dee alikuwa anatengeneza muziki wakati huo hana genge la kumsaidia uandishi wala ma-computer mengi mengi ya kumsupport.
Uandishi wa jay dee ulikuwa ni full content, ikiwamo story telling na kuunganisha patterns za maandishi na melody za wimbo,
Huyu kisabengo wenu ni vluuuuuuuuu kama boda boda.
Bora wewe siku hiz, mimi toka zimaanza nilishindwa kusikiliza.mimi nyimbo za siku hizi siwezi kusikia hata
Sifa ya hawa Gen Z ni ujinga uliotukuka.huwez kubishana nao aisee. Wabishi ile mbayaKizazi hiki kina wajinga wengi sana. Mimi wala sibishani nao maana hutawaweza.
Msanii anaimba nyumba ndogo ana hamasisha mabinti wawe michepuko
Yote Yale Yale. Serious alimanisha uke wenza. Lakni mi mipasho iliyomo mle haijengi kabisaNikifa
Alisema nyumba ndogo akimaanisha Mke mwenza au mchepuko?
Adabu ni sifuri na wamejiona wamesoma Wakati hata hesabu ya darasa la Saba ilikuwa na machaguo yaani A,b,c,d na e hii ni maajabuSifa ya hawa Gen Z ni ujinga uliotukuka.huwez kubishana nao aisee. Wabishi ile mbaya
Adabu ni sifuri na wamejiona wamesoma Wakati hata hesabu ya darasa la Saba ilikuwa na machaguo yaani A,b,c,d na e hii ni maajabu
Watoto wa 2000 wanapenda mziki wa matusi. Ni haki kusema vile.Nakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.
Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.
Tofautisha kati ya kuimba nyimbo na kutengeneza nyimbo.
Kisabengo anaimba nyimbo akisaidiwa na genge lake na bwana yake.
Jay dee alikuwa anatengeneza muziki wakati huo hana genge la kumsaidia uandishi wala ma-computer mengi mengi ya kumsupport.
Uandishi wa jay dee ulikuwa ni full content, ikiwamo story telling na kuunganisha patterns za maandishi na melody za wimbo,
Huyu kisabengo wenu ni vluuuuuuuuu kama boda boda.
Uzi unasemaje mkuuWa kuanzia mwaka gani Yani??
Huku sasa utataka tufika mbali mkuu..Adabu ni sifuri na wamejiona wamesoma Wakati hata hesabu ya darasa la Saba ilikuwa na machaguo yaani A,b,c,d na e hii ni maajabu
Alaaa!Kumbe utunzi ule ni baada ya sabuni kumuingia machoni ndiyo akawa anamuita amsaidie?Amiiiiii...!Hata mimi naweza tunga hii bafuni😂😂😂
Huku sasa utataka tufika mbali mkuu..
Ahahahah ndio maana nikasema huku tutafika mbali maana watoto wa siku hizi mtihami wa necta form 4 hesab wanaruhusiwa hata kuingia na calculator.Wapi uliona mtihani wa hesabu kuwa na machaguo isipokuwa kizazi hiki?
Wee unazungumzia four figure.......hata WAALIMU wao ni mtihani ni Kwa wema ya Mungu yaniAhahahah ndio maana nikasema huku tutafika mbali maana watoto wa siku hizi mtihami wa necta form 4 hesab wanaruhusiwa hata kuingia na calculator.
Watoto hata kutumia na kusoma four figure tables hawajui mpaka anahitim form 4
Jei Dee alikuwa anaimba KWAYA zile na nyimbo nyingine alikuwa anamfumbia Gardner..WANAUME KAMA MABINTI ndio nini sasa !Nakumbuka hata mimi nilivyokuwa teenager nilidhani dunia ndio inanizunguka mimi, yani nilijua nilichokijua kuwa ni bora ndicho kilicho bora kuliko vingine vyote.
Yani leo hii mtu anakuja kuandika humu JF eti haka kakisabengo ndiko kaandishi bora wa maandishi ya muziki.
Tofautisha kati ya kuimba nyimbo na kutengeneza nyimbo.
Kisabengo anaimba nyimbo akisaidiwa na genge lake na bwana yake.
Jay dee alikuwa anatengeneza muziki wakati huo hana genge la kumsaidia uandishi wala ma-computer mengi mengi ya kumsupport.
Uandishi wa jay dee ulikuwa ni full content, ikiwamo story telling na kuunganisha patterns za maandishi na melody za wimbo,
Huyu kisabengo wenu ni vluuuuuuuuu kama boda boda.