Watoto wa 2000 wanapenda wanaume matajiri

Watoto wa 2000 wanapenda wanaume matajiri

Hamissi Hamza Jr

Senior Member
Joined
Apr 16, 2020
Posts
103
Reaction score
209
Wadada Wanataka Wanaume Matajiri wa pesa alafu wao Ni maskini wa Akili,Utajiri na Ujinga Havikai sehemu moja",

Ndio Maana Badala ya kuwa Na wadangaji mabilionea tuna wadangaji masingle mother wanaoita Wanaume wote Ni mbwa 😂😂😂",

Wadada kumiliki Hela Sio kitu Rahisi,Ingekuwa Ni Simple Baba Zenu Wangekuwa Mabilionea Maana Na Wao Ni Wanaume".
 
Boraaaaa wajueee ukwelii ,pesaa imekuwa ngumu kuliko kupata bikraa Kwa madem wa Jf
FB_IMG_1738352757712.jpg
 
Wadada Wanataka Wanaume Matajiri wa pesa alafu wao Ni maskini wa Akili,Utajiri na Ujinga Havikai sehemu moja",

Ndio Maana Badala ya kuwa Na wadangaji mabilionea tuna wadangaji masingle mother wanaoita Wanaume wote Ni mbwa 😂😂😂",

Wadada kumiliki Hela Sio kitu Rahisi,Ingekuwa Ni Simple Baba Zenu Wangekuwa Mabilionea Maana Na Wao Ni Wanaume".
Tatizo siyo wao ni nyie wanaume mnapanda dau kubwa halafu unakutana na bwawa la mindu ama puya bila kusahau gono ama viviu.

They know your weaknesses and have general strategies to win you even before using your joy stick 🏒

Mnalipia bidhaa bila kuiona ama kuonja, no 🎤 mic testing, tuseme unauziwa paka kwenye gunia
 
Usidate na mwanamke aliekuzidi shida.

Otherwise Ni mtamu sn kama MAMAj😅
Kuna hii michezo ya elfu 2-3 kila siku na mikopo ya hivi vimicro finance vya mtaani, ni ngumu sana kukuta mdada wa mjini hajihusishi na hivyo vitu viwili na unakuta hana kipato chochote mpango wa makusanyo ni mizinga na kudanga
 
Wadada Wanataka Wanaume Matajiri wa pesa alafu wao Ni maskini wa Akili,Utajiri na Ujinga Havikai sehemu moja",

Ndio Maana Badala ya kuwa Na wadangaji mabilionea tuna wadangaji masingle mother wanaoita Wanaume wote Ni mbwa 😂😂😂",

Wadada kumiliki Hela Sio kitu Rahisi,Ingekuwa Ni Simple Baba Zenu Wangekuwa Mabilionea Maana Na Wao Ni Wanaume".
Hehehe
 
Back
Top Bottom