Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikikiki Ndiyo maana sasa ni mayasa, ooo! mayasaHawana SIRI wako kama Tigo
Si ndio 🤣Kumbe mnatuolea uchi tu
Niwakati waoWadada Wanataka Wanaume Matajiri wa pesa alafu wao Ni maskini wa Akili,Utajiri na Ujinga Havikai sehemu moja",
Ndio Maana Badala ya kuwa Na wadangaji mabilionea tuna wadangaji masingle mother wanaoita Wanaume wote Ni mbwa 😂😂😂",
Wadada kumiliki Hela Sio kitu Rahisi,Ingekuwa Ni Simple Baba Zenu Wangekuwa Mabilionea Maana Na Wao Ni Wanaume".
Aaah wapiTatizo siyo wao ni nyie wanaume mnapanda dau kubwa halafu unakutana na bwawa la mindu ama j puya bila kusahau gono ama viviu
Kama Una Malengo Kimbia,Bora Mishangazi hivyo vitoto vinapenda hela utafikiri vilizaliwa ATMWatoto wa 2000 wanagandwa kila siku yaani kila siku watu wanafika dau,(wanapanda dau)
Vijana wa hovyo wanaingia kwa gia ya kujifanya watoto wa kishua.Mwisho wanazibuliwa😂😂
Yes, Sasa mnanatoa Nini ktk mahusiano zaidi ya Kipochi ManyoyaKumbe mnatuolea uchi tu
Kuna kazi imeingia kazini ukuHawana SIRI wako kama Tigo
Sawa mkuu🙏Yes, Sasa mnanatoa Nini ktk mahusiano zaidi ya Kipochi Manyoya
Nini kimetokea?Kuna Vita kubwa sna kati ya jinsia hizi mbili.
Huko mbele ni kulipiana visasi na kuuana.
Watu wengi hawajapona wanatembea na vinyongo.Nini kimetokea?
People are bitter!
Hivi unamfahamu Ally Majam ?Pesaa mbili
Wapone…. it’s good for their healthy!Watu wengi hawajapona wanatembea na vinyongo.
Nop mkuu majam ni jina la utani tuuh kwanguHivi unamfahamu Ally Majam ?
Tuanchukiana na chuki ni Hasira iliyofikia hatua ya utu Uzima.Wapone…. it’s good for their healthy!