π€£π€£π€£Kenge Tenaπ³mbususus zenu tamu nyie kenge
Mnatuita mbwaπ€£π€£π€£Kenge Tenaπ³
Nitaweka kwenye mud guard ya fekon hiii π€£π€£π€£Usidate na mwanamke aliekuzidi shida.
Otherwise Ni mtamu sn kama MAMAjπ
Kwamba 20+ hauwezi kukuta kitu kipyaIna maana JF Kuna wenye umri huu 10-19? Maana Kwa umri huo Kuna probability ya kukutana na Mali mpya
Wapo ila nadra sana kuwapataKwamba 20+ hauwezi kukuta kitu kipya
HakikaMnawaonea sana watoto wa 2000. Hili suala la wadada kupenda matajiri lipo tangu enzi za mwalimu. Waulizeni wazazi wenu.
100 trueMungu akiziba uchi wa mwanamke hakuna kitu anaweza offer kwenye relationship
Wamepumbazwa Sana na wasanii kibaya Zaidi hawajui wengine wanafake maisha.Wamepumbazwa na mambo ambayo wakina jux na harmonize wanawafanyia mademu zao mtandaoni. Hawajui kama wale ni wasanii na wanachokifanya ndio usanii wenyewe
Hakuna Mwanamke anaweza kuishi bila Mwanaume,ila kuna Wanaume wanaweza kuishi bila Wanawake.Hivi siku tuamke Mungu katenganisha wanaume na wanawake na wote muwe na afya njema kabisa , kina nani wataweza kujimudu kuishi wenyewe? Maana haya matusi tumeyachoka toka kwa wanaume
Aaah wapi,alafu uelewe utajiri wa Miaka 60 Ni tofauti Sasa Kipindi kile walipima utajiri kwa mazao unayoivisha shambani.Mnawaonea sana watoto wa 2000. Hili suala la wadada kupenda matajiri lipo tangu enzi za mwalimu. Waulizeni wazazi wenu
Utajiri ni utajiri tu. Kwa wakati huo ulikuwa ni utajiri wa maanaAaah wapi,alafu uelewe utajiri wa Miaka 60 Ni tofauti Sasa Kipindi kile walipima utajiri kwa mazao unayoivisha shambani.
Ni Kweli Ila Wadada Wa kipindi hicho hawakua matepeliπππUtajiri ni utajiri tu. Kwa wakati huo ulikuwa ni utajiri wa maana
Umejuaje? Kwanini hukudate nao kipindi hicho?Ni Kweli Ila Wadada Wa kipindi hicho hawakua matepeliπππ
Kwahiyo acha Wanawake was kipindi hicho na Vitu vya ajabu.
ππππππππππππππππππππππππππππππππππWadada Wanataka Wanaume Matajiri wa pesa alafu wao Ni maskini wa Akili,Utajiri na Ujinga Havikai sehemu moja",
Ndio Maana Badala ya kuwa Na wadangaji mabilionea tuna wadangaji masingle mother wanaoita Wanaume wote Ni mbwa πππ",
Wadada kumiliki Hela Sio kitu Rahisi,Ingekuwa Ni Simple Baba Zenu Wangekuwa Mabilionea Maana Na Wao Ni Wanaume".
Aaah We ni me kijana wa juz bana,hao Sio umri wanguUmejuaje? Kwanini hukudate nao kipindi hicho?
Aaah We me ni kijana wa juz bana,hao Sio umriUmejuaje? Kwanini hukudate nao kipindi hicho?
Wanaume wa zamani walikuwa wana honga nyumba na magari na hawajawahi kulalamika kwamba wanatapeliwa. Ila wa siku hizi akikupa 20,000 halafu ukamuacha lazima aje kukufungulia uzi umemtapeli.Aaah We ni me kijana wa juz bana,hao Sio umri wangu