Hamissi Hamza Jr
Senior Member
- Apr 16, 2020
- 103
- 209
- Thread starter
-
- #81
Hapana kizazi jeuri,Me Ni Mwanaume toleo jipya,Siiingii kwenye Mahusiano na mwanamke naempenda ntakua dhaifu na ntakosa Msimamo wa maamuzi Magumu,Me Nadate Mwanamke anaenipenda.Dogo umeshapigwa tukio wewe!
Uko Sahihi Lakini Hakikisha Na Wewe Una Hela,Wapo sawa kabisa , hata mimi binti yangu akiniletea mkwe maskini nitamsikitikia sana japo sitawaingilia maamuzi yao.
Kataa Mahusiano Ni Utapeli πππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
Utakua una Cha ziada Cha ku offer!!Kumbe mnatuolea uchi tu
Unataka nimwachie binti yangu mali ambazo zitakuja simamiwa na mtu maskini? Huwa mnautukuza sana umaskini as if ni kitu kizuri , hata kama hauna pesa hakuna mzazi atakae penda kuona mtoto wake anateseka kama yeye.Uko Sahihi Lakini Hakikisha Na Wewe Una Hela,
Sikuhiz Wazazi Wanataka wakwe wenye hela na sisi tunataka wakwe wenye hela Yaani hela na hela Zijenge ukoo mpya.
Wanaume wa zamani walikuwa wana honga nyumba na magari na hawajawahi kulalamika kwamba wanatapeliwa. Ila wa siku hizi akikupa 20,000 halafu ukamuacha lazima aje kukufungulia uzi umemtapeli.
πππ Kuwa Mpole me sjawahi kuwa maskini sema sina hela tu.Unataka nimwachie binti yangu mali ambazo zitakuja simamiwa na mtu maskini? Huwa mnautukuza sana umaskini as if ni kitu kizuri , hata kama hauna pesa hakuna mzazi atakae penda kuona mtoto wake anateseka kama yeye.
Baba mkwe πNina milion 3 mahari nataka nije tufanye utaratibuUnataka nimwachie binti yangu mali ambazo zitakuja simamiwa na mtu maskini? Huwa mnautukuza sana umaskini as if ni kitu kizuri , hata kama hauna pesa hakuna mzazi atakae penda kuona mtoto wake anateseka kama yeye.
Hiyo anzieni nayo maisha mke πBaba mkwe πNina milion 3 mahari nataka nije tufanye utaratibu
Nakubali. Kwahiyo haya malalamiko ya kutapeliwa ni kwamba hawana pesa, wanapesa za mawazo.Sasa demi miaka ya 1995-2016 uhuru wa manyani ulikuwa mkubwa kuanzia rais hadi Balozi wa nyumba kumi which mtu kuhonga nyumba poa tu watu enz hzo. Wanapush madawa silk poa na sheria sio kali kama Leo hii
Yah kuna watu ni maskini bado ila wanayo pesa pia .πππ Kuwa Mpole me sjawahi kuwa maskini sema sina hela tu.
Na uhakika miaka michache ijayo ntakuwa rich Forever.
Yaani ni genge la uhalifu kwa sasa π€£π€£π€£Kataa Mahusiano Ni Utapeli πππ
Lazima utakua umekulia mji kasoro meli wewe,Mindu tena?,π€£π€£π€£Tatizo siyo wao ni nyie wanaume mnapanda dau kubwa halafu unakutana na bwawa la mindu ama j puya bila kusahau gono ama viviu.
They know your weaknesses and have general strategies to win you even before using your joy stick π
Mnalipia bidhaa bila kuiona ama kuonja, no π€ mic testing, tuseme unauziwa paka kwenye gunia
Halafu aking'oe hicho kidude chenu halafu mfano muwe mnakojolea kwenye masikio badala ya hapo?Hivi siku tuamke Mungu katenganisha wanaume na wanawake na wote muwe na afya njema kabisa , kina nani wataweza kujimudu kuishi wenyewe? Maana haya matusi tumeyachoka toka kwa wanaume
Sasa mbususu zenye we zinazotolewa hela unakuta ni kama nguzo za tanesco. Kila mtu akijenga nyumba anavuta umeme kwenye hiyo nguzo full kushareNakubali. Kwahiyo haya malalamiko ya kutapeliwa ni kwamba hawana pesa, wanapesa za mawazo.
Hayo ni mambonya kawaida, ukitaka unatoa usipotaka hutoi. Sidhani kama kuna aliyeshikiwa bunduki atoe.
Lazima ugongewe kama hutaki jiunge na kina dronedrake kiroho safi.Sasa mbususu zenye we zinazotolewa hela unakuta ni kama nguzo za tanesco. Kila mtu akijenga nyumba anavuta umeme kwenye hiyo nguzo full kushare
Sana aise kuna tatizo kubwa sana la tamaa kwenye kizazi hikiWadada Wanataka Wanaume Matajiri wa pesa alafu wao Ni maskini wa Akili,Utajiri na Ujinga Havikai sehemu moja",
Ndio Maana Badala ya kuwa Na wadangaji mabilionea tuna wadangaji masingle mother wanaoita Wanaume wote Ni mbwa πππ",
Wadada kumiliki Hela Sio kitu Rahisi,Ingekuwa Ni Simple Baba Zenu Wangekuwa Mabilionea Maana Na Wao Ni Wanaume".
Kwenye mrenda wa vugu vunguLazima ugongewe kama hutaki jiunge na kina dronedrake kiroho safi.
Huko hukoπKwenye mrenda wa vugu vungu