Watoto wa IGP Sirro nani anawafahamu? Tabia zao zikoje?

Watoto wa IGP Sirro nani anawafahamu? Tabia zao zikoje?

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Isiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesi nyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto.

Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?
 
Isiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesinyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto. Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?
Kuna mmoja katajwa kuwa mlevi na anaokotwa kwenye mitaro mara kwa mara huko Chanika , kuna uzi humuhumu jf umechambua jambo hilo
 
1630333063437.png

Mwalimu Mabala amependekeza kila hospital iwe na mtabiri atakae tabiri kesho ya kila mtoto. Mtoto atakaetabiriwa kesho ya ugaidi mimba yake itolewe.
 
Nimesoma na mmoja shule fulan hiv na alikua mkuda balaa tulikua tunazinguana kila kila siku full kuchoma naskia saiv n askari
Wale wenye sifa za kuwa Askari hawapewi nafasi, nafasi wanaewa watoto wa wakubwa. Kuna dada mmoja nilisoma nae, hata zile term exams alikula buyu. Siku moja nilikutana nae barabarani ni traffic police. Shemeji yake ni mmoja wa ma IGP wastaafu.
 
Wale wenye sifa za kuwa Askari hawapewi nafasi, nafasi wanaewa watoto wa wakubwa. Kuna dada mmoja nilisoma nae, hata zile term exams alikula buyu. Siku moja nilikutana nae barabarani ni traffic police. Shemeji yake ni mmoja wa ma IGP wastaafu.
Hakuna watu wajinga kama maaskari hovyo kbs hawana akili kazi ubabe tu. Ukiona trafiki mwanamke mchunguze vyema akili zero. Kuna mmoja nilimbandua kuja kumchunguza kiundani alifoji cheki. Ila kabaki kazini
 
Hakuna watu wajinga kama maaskari hovyo kbs hawana akili kazi ubabe tu. Ukiona trafiki mwanamke mchunguze vyema akili zero. Kuna mmoja nilimbandua kuja kumchunguza kiundani alifoji cheki. Ila kabaki kazini
Tehe tehe!
 
Hakuna watu wajinga kama maaskari hovyo kbs hawana akili kazi ubabe tu. Ukiona trafiki mwanamke mchunguze vyema akili zero. Kuna mmoja nilimbandua kuja kumchunguza kiundani alifoji cheki. Ila kabaki kazini
Ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom