Nasikia ana miliki madanguloIsiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesinyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto. Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?
Kuna mmoja katajwa kuwa mlevi na anaokotwa kwenye mitaro mara kwa mara huko Chanika , kuna uzi humuhumu jf umechambua jambo hiloIsiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesinyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto. Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?
Wale wenye sifa za kuwa Askari hawapewi nafasi, nafasi wanaewa watoto wa wakubwa. Kuna dada mmoja nilisoma nae, hata zile term exams alikula buyu. Siku moja nilikutana nae barabarani ni traffic police. Shemeji yake ni mmoja wa ma IGP wastaafu.Nimesoma na mmoja shule fulan hiv na alikua mkuda balaa tulikua tunazinguana kila kila siku full kuchoma naskia saiv n askari
Hakuna watu wajinga kama maaskari hovyo kbs hawana akili kazi ubabe tu. Ukiona trafiki mwanamke mchunguze vyema akili zero. Kuna mmoja nilimbandua kuja kumchunguza kiundani alifoji cheki. Ila kabaki kaziniWale wenye sifa za kuwa Askari hawapewi nafasi, nafasi wanaewa watoto wa wakubwa. Kuna dada mmoja nilisoma nae, hata zile term exams alikula buyu. Siku moja nilikutana nae barabarani ni traffic police. Shemeji yake ni mmoja wa ma IGP wastaafu.
Tehe tehe!Hakuna watu wajinga kama maaskari hovyo kbs hawana akili kazi ubabe tu. Ukiona trafiki mwanamke mchunguze vyema akili zero. Kuna mmoja nilimbandua kuja kumchunguza kiundani alifoji cheki. Ila kabaki kazini
Ha ha ha haHakuna watu wajinga kama maaskari hovyo kbs hawana akili kazi ubabe tu. Ukiona trafiki mwanamke mchunguze vyema akili zero. Kuna mmoja nilimbandua kuja kumchunguza kiundani alifoji cheki. Ila kabaki kazini
Vipi kabla hajaolewa huna nyepesi nyepesi zake?Kuna mmoja wa kiume tulisoma naye sekondari. Siku hizi ameoloewa Changanyikeni.
Kuna mmoja niliwah ishi nae mtaan,namhis anawakula wenzie
Vipi kabla hajaolewa huna nyepesi nyepesi zake?
Amejaribu kufikisha ujumbe kwa mamlaka yake ya uteuzi imsaidie kazi ameelemewa.Sirro kachemka bwana
Alikula firigisi?Rafiki yangu aliwahi kupita.