Watoto wa IGP Sirro nani anawafahamu? Tabia zao zikoje?

Acha watoto yeye tuu unamwonaje?
polisi wengi huishia Hali mbaya wao na familia zao kutokana na utendaji usio wahaki na damu zawatu kuwalilia
 
Hatuna budi kiwafanyia scrutiny wanae Mana wahenga walishasema kuwa watu wanaokaa kwenye nyumba za voo wasitupe mawe.
 
Ana mtoto mmoja ni mlevi wa kupindukia, halafu ni mkorofi akifanya fujo utasikia unajua mimi ni mtoto wa nani? Baba yangu ni Sirro kamanda wa polisi Tanzania? Mtanifanya nini nyie.

Sema kuna siku moja alijichanganya kwa jamaa mmoja Club fulani, alichezea kichapo kitakatifu na sikumuoa huyo baba yake akija kumsaidia.

Na akiendelea na tabia hii ipo siku atafukiwa kama alivyofukiwa Hamza.
 
Kuna dogo mla mirungi hujitambulishabkama mtoto wake ila sizani maana mzee alisema kabisa yeye anakinga mahari.
Huyu kuna siku alichezea kichapo maeneo ya mbezi, toto lihuni halafu lijinga haswa sasa baba yake akiwa IGP sisi wengine tufanyaje. Kama sio watu kuingilia ilikuwa ageuzwe mwanamke usiku ule..
 
Mmoja yupo na stress za ndoa hajui hata kupika ugali wanaime wanamkimbia
 
Yule hajazaa, kazalishiwa na mahausi boy wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…