Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Kama anaokotwa atakuwa kasalimika kuliwa "jicho"? maana kwa ulevi huo watu wanajisevia kiroho safi.Kuna mmoja katajwa kuwa mlevi na anaokotwa kwenye mitaro mara kwa mara huko Chanika , kuna uzi humuhumu jf umechambua jambo hilo
Ndiyo yeye.
Cc. Gody SirroKuna mmoja katajwa kuwa mlevi na anaokotwa kwenye mitaro mara kwa mara huko Chanika , kuna uzi humuhumu jf umechambua jambo hilo
😄🤣😂View attachment 1916720
Mwalimu Mabala amependekeza kila hospital iwe na mtabiri atakae tabiri kesho ya kila mtoto. Mtoto atakaetabiriwa kesho ya ugaidi mimba yake itolewe.
Duh..Kuna mmoja wa kiume tulisoma naye sekondari. Siku hizi ameolewa Changanyikeni.
Kuna mmoja wa kiume tulisoma naye sekondari. Siku hizi ameolewa Changanyikeni.
Duuh kumbe ni mzungu
Mbona yeye aliingilia kazi ya familia ya Hamza? Usiwe biasedTutofautishe kazi na familia ya mtu,kazi inabaki kama kazi na familia inabaki kama familia tuwe waelewa
Huyu kuna siku alichezea kichapo maeneo ya mbezi, toto lihuni halafu lijinga haswa sasa baba yake akiwa IGP sisi wengine tufanyaje. Kama sio watu kuingilia ilikuwa ageuzwe mwanamke usiku ule..Kuna dogo mla mirungi hujitambulishabkama mtoto wake ila sizani maana mzee alisema kabisa yeye anakinga mahari.
mkuu nimeelewa vibaya au[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Marinda kushineKuna mmoja katajwa kuwa mlevi na anaokotwa kwenye mitaro mara kwa mara huko Chanika , kuna uzi humuhumu jf umechambua jambo hilo
Dada View attachment 1917119umenielewa vizuri kabisa. Ni hivyo hivyo......
[emoji3][emoji3][emoji3]Mmoja yupo na stress za ndoa hajui hata kupika ugali wanaime wanamkimbia
Yule hajazaa, kazalishiwa na mahausi boy wakeIsiwe yeye kuwasema wenzake tu! Ni vema ambao wamebahatika kuishi na watoto wa Sirro watupe nyepesinyepesi au nyeti nyeti kuhusu hao watoto. Kuna siku alionekana km vile anawanadi kwenye tukio la harusi - je mpaka anawanadi ni wameshindikana na hawaonwi na waoaji ama?