comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
Kila siku mida hii ya usiku ñaona mabinti wanapita wanasema wanaenda msikitini, kipindi hichi cha mfungo wanaenda kufanyaje? Mbona kama NI hatari Sana?
Leo nimekuta binti mmoja kavaa ushungi kabananishwa kwenye ukuta kuna kinjia kinatoka msikititi, walikua wanayajenga walivyoniona wakapiga kimya wakasubiri nipite!
Yule dogo nimemuonea wivu aisee🤣🤣 kibinti kama kile kizur vile na kinaleta ushirikiano huku kimevaa juba
Huu utaratbu mbaya sana usiruhusu mtoto wako na wenzake au mke aende msikitini usiku kipindi hichi
Leo nimekuta binti mmoja kavaa ushungi kabananishwa kwenye ukuta kuna kinjia kinatoka msikititi, walikua wanayajenga walivyoniona wakapiga kimya wakasubiri nipite!
Yule dogo nimemuonea wivu aisee🤣🤣 kibinti kama kile kizur vile na kinaleta ushirikiano huku kimevaa juba
Huu utaratbu mbaya sana usiruhusu mtoto wako na wenzake au mke aende msikitini usiku kipindi hichi