umaskini ni ugonjwa mbaya sanaIv wanaume wenzangu hatuwe kumsaidia mtoto wakike bila kumuomba mbususu jaman
Maana watoto wengi wakike wakitaka kupata kazi basi watoe mbususu aya atakae kuja kumuoa ataikuta ikiwa na hali gani?
Mfano wasanii wakike wengi wanapitia hayo na sasa tunaona kwa konde boy alicho kifanya kwa anjella
Aliijidai ana msaidia atampeleka india kutibiwa matokeo yake hakuna alicho ambulia zaidi ya mimba na kupokonywa vitu vyake vyote
Mimi kwa hili big no ata mtoto wangu wakike akiwa anapenda sanaa hapana hapana siwez vumilia kuona hayo yakitokea
Ulijitahidi sana,hongeraKama mimi hapa. Ila wakati mwingine mabinti wengine huamua kujilengesha wenyewe bila kushawishiwa au kulazimishwa. Wakati sisi wengine huasaidia bila kutarajia malipo ya aina yoyote, achilia mbali mbususu.
Kuna binti mmoja aliwahi kuniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa ili amtumie mama yake kijijini. Mimi niliamua kumpatia bure kabisa kiroho safi. Baada ya hapo akaanza kuwa karibu na mimi sana kuliko awali. Mimi nikachukulia poa na nikajikausha. Akaona kama vile simwelewi.
Siku moja alinitumia picha yake akiwa kajilaza kitandani halafu akanikaribisha "Tony karibu tulale".
Nikampotezea mazima. Hivyo unaweza kuona wakati mwingine ni mabinti wenyewe wanajirahisisha baada ya kusaidiwa hata kama hawajaombwa
Huyo binti ana wezere au hana?Kama mimi hapa. Ila wakati mwingine mabinti wengine huamua kujilengesha wenyewe bila kushawishiwa au kulazimishwa. Wakati sisi wengine huasaidia bila kutarajia malipo ya aina yoyote, achilia mbali mbususu.
Kuna binti mmoja aliwahi kuniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa ili amtumie mama yake kijijini. Mimi niliamua kumpatia bure kabisa kiroho safi. Baada ya hapo akaanza kuwa karibu na mimi sana kuliko awali. Mimi nikachukulia poa na nikajikausha. Akaona kama vile simwelewi.
Siku moja alinitumia picha yake akiwa kajilaza kitandani halafu akanikaribisha "Tony karibu tulale".
Nikampotezea mazima. Hivyo unaweza kuona wakati mwingine ni mabinti wenyewe wanajirahisisha baada ya kusaidiwa hata kama hawajaombwa
😅😅😅Wezere- unamaanisha chura au? Naona umri umeanza kusogea hii misamiati mipya inaanza kunipitia kushoto sasa.Huyo binti ana wezere au hana?
[emoji3][emoji3]naona bado hujaridhika umekuja kunikandamiza Tena
Kuna mazingira yanakulazimu unyandue ila sio necessary sometimes.....
Natolea mfano..
Kuna siku nimekaa dukani akaja bwana mdogo mmoja rafiki yangu na Ni mdogo angu pia ananambia bro Nina kipengele (pisi) ila nyumbani mazingira hayaRuhusu
Naomba nipe funguo za nyumba nikanyanduane[emoji3][emoji3]
Nikamwambia freshi ila hakikisha anapika. nikampa na pesa akanunue kilo ya nyama.
Baada ya muda dogo alirejea akasema bro huwezi amini pisi imekuja na Dada yake inasema haiwez kukaa mbali na Dada yake kwahio nimemleta yupo sebuleni na Hana kampani ikiwezekana twende.
Basi nikaangalia Hali ya hewa ilikua Ni wingu zito linaloashiria mvua kubwa muda mfupi ujao, nikaona isiwe kesi twende tu nikaegesha mlango wa goli tukaenda nyumbani
Kufika namkuta huyo Dada.
Sio kinyonge alikua mzuri, Mali standard kabisa kwa vipimo vya standard deviation.
Mvua ilinyesha kubwa Sana mpaka saa nne usiku Hadi ikawapelekea wao kushinda kurudi kwao maana.
Dogo aliondoka na pisi yake nami nikabaki na Dada mtu na nikamgegeda
[emoji3]Sasa ata ungekua wewe unatoa hifadhi hivi hivi?
[emoji1787]Ata manzi mda mwingine ukimsaidia bila kumgegeda anakuona kanjanja
[emoji41]