Watoto wa Kitanga ni wazuri sana, kila nikifikiria wanaume wanao left-group inanifikirisha sana

Watoto wa Kitanga ni wazuri sana, kila nikifikiria wanaume wanao left-group inanifikirisha sana

watoto wote hawa kama wamealikwa alafu kidume unaanza kuwa papai kweli?




Ni ujinga wa hali ya juu, mkuu ona hii sample
Screenshot_20240221-204655.png
 
Habari wanaJF, poleni na majukumu ya hapa na pale 🀝, Hakika mungu ni fundi kama kweli yupo basi azidi kuwa na afya njema huko aliko πŸ™, nilipata wasaa wa kutembelea jiji la Tanga, nikazunguka baadhi ya maeneo na vitongoji vyake, ukweli usemwe watoto wa kike kutoka tanga wameumbika kweli kweli:-

|β€’ Ni weupe hata kama atakuwa na rangi nyeusi/majikunde lakini ngozi yake ipo mithiri ya mtu aliyejipaka mafuta ya mnyonyo.

||β€’ Miili yao imekaa umbo la nyigu, kwa mwanaume aliye kamilika hawezi kuishiwa hamu ya kulamba buyu la asali.

|||β€’ Siyo wachoyo, roho zao zimeumbwa kwa ajili ya kuwasaidia wanaume waliopatwa na kiu ya maji, hasa pale wakiwa katika hali ya kijangwa.

|Vβ€’ Wakitembea barabarani mijusi na baadhi ya wadudu hutingishika huko maporini.

……Mda wa kukaa Tanga umeisha, najisikia vibaya sana kuondoka hili jiji. πŸ€—πŸ€—πŸ€—.

View attachment 2911282View attachment 2911284View attachment 2911286View attachment 2911289
Maua hayo...
 
Habari wanaJF, poleni na majukumu ya hapa na pale 🀝, Hakika mungu ni fundi kama kweli yupo basi azidi kuwa na afya njema huko aliko πŸ™, nilipata wasaa wa kutembelea jiji la Tanga, nikazunguka baadhi ya maeneo na vitongoji vyake, ukweli usemwe watoto wa kike kutoka tanga wameumbika kweli kweli:-

|β€’ Ni weupe hata kama atakuwa na rangi nyeusi/majikunde lakini ngozi yake ipo mithiri ya mtu aliyejipaka mafuta ya mnyonyo.

||β€’ Miili yao imekaa umbo la nyigu, kwa mwanaume aliye kamilika hawezi kuishiwa hamu ya kulamba buyu la asali.

|||β€’ Siyo wachoyo, roho zao zimeumbwa kwa ajili ya kuwasaidia wanaume waliopatwa na kiu ya maji, hasa pale wakiwa katika hali ya kijangwa.

|Vβ€’ Wakitembea barabarani mijusi na baadhi ya wadudu hutingishika huko maporini.

……Mda wa kukaa Tanga umeisha, najisikia vibaya sana kuondoka hili jiji. πŸ€—πŸ€—πŸ€—.

View attachment 2911282View attachment 2911284View attachment 2911286View attachment 2911289

Mambise naye kawa Mtanga siku hizi?
 
Back
Top Bottom