Watoto wa Kitanga ni wazuri sana, kila nikifikiria wanaume wanao left-group inanifikirisha sana

Watoto wa Kitanga ni wazuri sana, kila nikifikiria wanaume wanao left-group inanifikirisha sana

Uliwezaje kuchomokas? Kweli wanapiga miguubyote? Shida moha tu..uvivu kufanya kazi wao wanasubiri ulete pesa tuu ndanii mmmmm saaa hao wafaa kuwa wake?
Kuna makabila tofauti mkuu, kuna kabila moja hivi, mwanaume unawekwa ndani, unapewa kazi ndogo ndogo kama vile kusaga juice, kukata kachumbali,. But Mwanamke anaenda ku fight mtaani.
 
Hiki ndo kilimponza ndugu yangu akafirisika aise... Alikuwa anatoka Nyanda za juu kusini, then anaenda kula chakula Tanga. Mapema sana umaskini ukamvaa. 😀😀.
Kuna kitu inaitwa baikoko ya mombasa....sio hii uchafu wanacheza huku dar sijui vigodoro uchwara no no no!!!!....balaa la hili baikoko ni linachezwa ufukweni saa 7 za usiku mpaka majogooo halooo kuna madancer maalumu na mduara wa kawaida wamefunga tengee ni balaaa.....baikoko ni dela jepesi lilolotepeta.....

sitaki kuongea sana lakini mabinti wa kitanga sifa ziende kwao
 
Kuna makabila tofauti mkuu, kuna kabila moja hivi, mwanaume unawekwa ndani, unapewa kazi ndogo ndogo kama vile kusaga juice, kukata kachumbali,. But Mwanamke anaenda ku fight mtaani.
😂😂
Kuna makabila tofauti mkuu, kuna kabila moja hivi, mwanaume unawekwa ndani, unapewa kazi ndogo ndogo kama vile kusaga juice, kukata kachumbali,. But Mwanamke anaenda ku fight mtaani.
Hiki ndo kilimponza ndugu yangu akafirisika aise... Alikuwa anatoka Nyanda za juu kusini, then anaenda kula chakula Tanga. Mapema sana umaskini ukamvaa. 😀😀.
😂😂
 
Hiki ndo kilimponza ndugu yangu akafirisika aise... Alikuwa anatoka Nyanda za juu kusini, then anaenda kula chakula Tanga. Mapema sana umaskini ukamvaa. 😀😀.
Alikuwa ana haki ya kufilisika afu lingine la kuchunga mwanaume ukilogewa na limbwata la tanga hutokiiii.

Wanawake wa tanga wana limbwata lakukugeuza zezeta kama mwanaume utakuwa hutoi mahaba ipasavyo na si pesa bali mahaba.
 
Back
Top Bottom