babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Zamani kuna mwamba alinipigia simu.kwamba kaona mkewe anaongea sana na mimi.Dah, kuna mhuni atakuwa amekaficha mjengoni aise 🙂,
Nilimwambia tu akomae nae mi hatutaonana tena.
Akashukuru sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani kuna mwamba alinipigia simu.kwamba kaona mkewe anaongea sana na mimi.Dah, kuna mhuni atakuwa amekaficha mjengoni aise 🙂,
Nasikia dawa zao ni kali sana, hata kama unafamilia unaweza itupupilia mbali kabisa....Alikuwa ana haki ya kufilisika afu lingine la kuchunga mwanaume ukilogewa na limbwata la tanga hutokiiii.
Wanawake wa tanga wana limbwata lakukugeuza zezeta kama mwanaume utakuwa hutoi mahaba ipasavyo na si pesa bali mahaba.
26 si mbali dogoRuqaiya mtoto wa kitanga pale CIVE daah 😂😂😂🙌🙌🙌🙌
1.kwamba weupe...hiiinadhihirisha mtu mweus mwenyew hapend ngoz nyeus..halaf anafosi mzungu au muhind kuipenda ngoz nyesi.[emoji16]Habari wanaJF, poleni na majukumu ya hapa na pale [emoji1666], Hakika mungu ni fundi kama kweli yupo basi azidi kuwa na afya njema huko aliko [emoji120], nilipata wasaa wa kutembelea jiji la Tanga, nikazunguka baadhi ya maeneo na vitongoji vyake, ukweli usemwe watoto wa kike kutoka tanga wameumbika kweli kweli:-
|• Ni weupe hata kama atakuwa na rangi nyeusi/majikunde lakini ngozi yake ipo mithiri ya mtu aliyejipaka mafuta ya mnyonyo.
||• Miili yao imekaa umbo la nyigu, kwa mwanaume aliye kamilika hawezi kuishiwa hamu ya kulamba buyu la asali.
|||• Siyo wachoyo, roho zao zimeumbwa kwa ajili ya kuwasaidia wanaume waliopatwa na kiu ya maji, hasa pale wakiwa katika hali ya kijangwa.
|V• Wakitembea barabarani mijusi na baadhi ya wadudu hutingishika huko maporini.
Muda wa kukaa Tanga umeisha, najisikia vibaya sana kuondoka hili jiji. [emoji847][emoji847][emoji847].
View attachment 2911282View attachment 2911284View attachment 2911286View attachment 2911289
Mkuu, ibabidi uende Tanga, ukaoshe macho kidogo 😋😋
Wee subiri tu... 😂😂😂😂26 si mbali dogo
Tanga ni mwisho wa matatizo katika mambo ya mahaba.Habari wanaJF, poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Hakika mungu ni fundi kama kweli yupo basi azidi kuwa na afya njema huko aliko 🙏, nilipata wasaa wa kutembelea jiji la Tanga, nikazunguka baadhi ya maeneo na vitongoji vyake, ukweli usemwe watoto wa kike kutoka tanga wameumbika kweli kweli:-
|• Ni weupe hata kama atakuwa na rangi nyeusi/majikunde lakini ngozi yake ipo mithiri ya mtu aliyejipaka mafuta ya mnyonyo.
||• Miili yao imekaa umbo la nyigu, kwa mwanaume aliye kamilika hawezi kuishiwa hamu ya kulamba buyu la asali.
|||• Siyo wachoyo, roho zao zimeumbwa kwa ajili ya kuwasaidia wanaume waliopatwa na kiu ya maji, hasa pale wakiwa katika hali ya kijangwa.
|V• Wakitembea barabarani mijusi na baadhi ya wadudu hutingishika huko maporini.
Muda wa kukaa Tanga umeisha, najisikia vibaya sana kuondoka hili jiji. 🤗🤗🤗.
View attachment 2911282View attachment 2911284View attachment 2911286View attachment 2911289
Hilo jina sio geni, alikuwa anaishi wapi?Duh nimemkumbuka Najma wangu.Sijui yuko wapi yule binti.
Mapenzi yake ni sukari ,kuogeshwa ilikua kawaida tu.
Mi nilikua kipanga mtoto wa wa watu alikua na asthma.
Sasa akifumania,anaanza kuhema anadondoka,
Nabeba naingiza ndani.
Yale ndo yalikua Mapenzi.
Namtafuta hapatikani popote.
Sasa unataka mwanamke akupe mautundu yote hayo halafu bado atafute pesa, acheni kuwatwisha wanawake majukumu mengi, chagueni moja mpewe mautundu au msaidiwe kutafuta pesaUliwezaje kuchomokas? Kweli wanapiga miguubyote? Shida moha tu..uvivu kufanya kazi wao wanasubiri ulete pesa tuu ndanii mmmmm saaa hao wafaa kuwa wake?
Mambise mmeru ila umaarufu kaupatia Tanga,alianza kukaa Muheza then akahamia Pongwe na Sasa Katia maguu Dar,yeye na mdogo wake MuncyMambise naye kawa Mtanga siku hizi?
Ilala mpk dk ya mwisho bungoni paleHilo jina sio geni, alikuwa anaishi wapi?
Itakuwa ni majina yamefanana; ila kama alikuwa ni wandoto yako unaweza kufika maeneo aliyoishi ukapata pa kuanziaIlala mpk dk ya mwisho bungoni pale