Watoto wa Mjini Dar

Watoto wa Mjini Dar

yuko oslo NORWAY

anaitwa SLIM ABEID SLIM

alikuwa mwenye SWAHILI FOOD RESTAURANT

na pia alikuwa ni INTERIOR DECORATOR


ana binti wake anaitwa SABRINA


Lete story


Ok ,hii njema kwake,i wish the worse to him yeye na Chindakta Haule (Chicki) kama (unamfahamu)
Nita ku PM nilifanya nao biashara hao jamaa wakanipiga
 
jamani Abdallah Rich mwamjua,beach watu walikuwa wanamuogopa,eti polisi wengine wasema si rizki. je DULA joban mwamjua mtu wa kwanza kuingiza bwimbwi zanzibar
 
Mbona unapoteza muda mwenke kwenye IGNORE LIST

Naona kama anachokorachokora maneno vile....maana nimetoka kwenye moja jana tu mbichii ikapelekea mama kufungiwa sasa siko kwenye mood ya ubishi ndio maana nimedondokea huku ili nipate michapo....
MWK kama una cha kuchangia changia, kama huna ione thread hii kama nyingine tu, pitilizaaaa...
 
Dadaa dialogue yako na GT nakuachia wewe na mkulu GT...unafikiri sijaiona? Nimeiona vizuri tu ila nimeikaukia kwa sababu sikutaka kuigeuza hii thread iwe ya ubishi au kupick side then ionekane tunamchangia mtu mande hapa...
Nakuheshimu sana kwa vijisenti vyako hapa jamvini...sina sababu ya kubishana kwa hilo...Aksante.

Asante mkuu... tumeelewana kwa hili.

Endeleza mchango wako na story za Dar (naona GT anasema hii thread ni kwa ajili ya story za mabaharia sasa hivi) hayo mengine kutoka kwa GT ni ya kawaida na huwa yanategemewa. Msimamo wake kuhusu baadhi ya members hapa uko wazi sana hapa na mimi of all members hapa sitamuacha aendeleza dharau zake hapa.

Again...no hard feelings with you...

Asante
 
GT,

Nilikua naongea na Hussein Pepe kale,aliniambia jamaa yuko jela Dubai sasa wewe unanishangaza
 
Asante mkuu... tumeelewana kwa hili.

Endeleza mchango wako na story za Dar (naona GT anasema hii thread ni kwa ajili ya story za mabaharia sasa hivi) hayo mengine kutoka kwa GT ni ya kawaida na huwa yanategemewa. Msimamo wake kuhusu baadhi ya members hapa uko wazi sana hapa na mimi of all members hapa sitamuacha aendeleza dharau zake hapa.

Again...no hard feelings with you...

Asante

Nakushukuru sana kwa kuelewana na mimi katika hili bila ya ubishi......tukikutana sehemu nyingine katika mijadala mingine tutajadili tu haina mbaya....wasalimie...
 
Naona kama anachokorachokora maneno vile....maana nimetoka kwenye moja jana tu mbichii ikapelekea mama kufungiwa sasa siko kwenye mood ya ubishi ndio maana nimedondokea huku ili nipate michapo....
MWK kama una cha kuchangia changia, kama huna ione thread hii kama nyingine tu, pitilizaaaa...

So far ninaona kuna mengi sana ya kuchangia kwenye hii thread... Ndio mwanzo nimeamka na nina siku ndefu sana ya kuwa hapa. Kuhusu kufungiwa wala usiwe na wasiwasi, mie sijawahi kufungiwa hapa JF maana sijawahi hata siku moja kutoa matusi. Kama mama alifungiwa jana, usitegemee the same fate kwangu.

It aint gonna happen.... the best you can do ni "kuni-ignore" kama GT na kisha uingie kwa jina lingine (kama yale mengine ya GT) na uendelee haya mazungumzo na mimi.
 
Nishaanza kuchemka

hivi kuna mtu ana matokeo ya GAMES za leo?
 
Nishaanza kuchemka

hivi kuna mtu ana matokeo ya GAMES za leo?

Re: Chelsea vs Arsenal Nov 30

--------------------------------------------------------------------------------

Arsenal walijifunga wenyewe goli dakika ya 30, makosa ya kipa kwa kucheza na shilingi chooni. Arsenal wameelemewa wanakimbiakimbia tu au kusimama na kungoja kureact kwa mashambulizi ya Chelsea. Ni halftime sasa kama hawakubadili uchezaji wao kipindi cha pili basi si ajabu tukatundikwa 3 au hata 4.
__________________
I will die poor rather than stealing from Tanzanians through fake contracts and dubious ownership of Tanzanians' Natural Resources

kwa hisani ya BUBU ANATAKA KUSEMA
 
So far ninaona kuna mengi sana ya kuchangia kwenye hii thread... Ndio mwanzo nimeamka na nina siku ndefu sana ya kuwa hapa. Kuhusu kufungiwa wala usiwe na wasiwasi, mie sijawahi kufungiwa hapa JF maana sijawahi hata siku moja kutoa matusi. Kama mama alifungiwa jana, usitegemee the same fate kwangu.

It aint gonna happen.... the best you can do ni "kuni-ignore" kama GT na kisha uingie kwa jina lingine (kama yale mengine ya GT) na uendelee haya mazungumzo na mimi.

GT,hii imekaaje,KUMBE wewe una majina mengine? this is news
 
GT,mimi nilifikiri watu wenye majina mengi humu,ni wale wenye tongotongo,sasa how come!!!!! please deny kauli ya MWK
 
Miss-girl,

you are locking the boat

Neah,

I wouldnt do that .... lock the boat?
well, if that's case here then..... I will take a time out... 20 min?

I will let you guys rock this boat....
BUT.... as far as GT is concerned..... Mimi na yeye tu mpaka kieleweke.
 
wee msen£$%^ weee

hawa jamaa umewajuaje?

duhh! noma kichizi

sasa ngoja nikupe mkanda mzima ulivyokuwa

MALIMA aka mzee COSBY au COZBY alikuwa ni mtoto wa magomeni mapipa kuleee nyuma ya ofisi za wilaya na alikuwa na mshikaji wake anaitwa COASTER au COSTA

Hawa jamaa walikwenda ITALI enzi zile MARADONA ndio anachezea NAPOLI na walipobiga bao wakatuma pesa kwa mjomba wao awanunulie nyumba na ndio ile nyumba waliokuwa wamepangisha wale Malaya

Sasa 1989 alima aliporudi mambo safi na ndio alirudi na lile Guruwe Jeusi lilikuwa na mastika kibao ya BOB MARLEY na wakawa poa sasa ikaja tripu ya pili ambayo ilidibi COSTA urudi shamba dogo ndipo noma likatokea kwa sababu waliibiwa New Delhi tena kwenye maskani ya watoto wa Kibongo - Pahar Ganj, pale Green Guest House...kama kuna watu wana nyeti zaidi watakupeni mkanda mzima...hao itakuwa jamaa zake FMES hao akija mwenyewe atakuambieni


Anyway yule anko alipoona kuwa jamaa hawana hati ndipo akawachenjia na hapo ndipo wataalam wa International Relations wanakuambia wa THE "WATERSHED MOMENT" na wakaanza kulaumiana na eventually haata urafiki wenyewe ukaisha

By the way nasikia yule ANKO alishavuta sijui kama kweli



Hapo mzee COSBY akaamua kurudi tena shamba na kule kama kawaida mzigo inabidi uutesti mwenywe kama huwezi basi unamkodisha testa ...sasa kama ndio ushaondoka bongo kiguu juu sasa kuna cha kumpa pesa tesa? eventually kaanza kuutesi mwenyewe na mwishowe naye akawa JUNKI

Wakati huo tena kule Migo migo wanawake wa kiswahili wanampakazia COSTA watoto left and right na nasikia naye aliamaua kutiimua...si unajua tena sie waswahili...yakitushinda basi ndege ndio rafiki yetu mkubwa na mara ya mwisho ilikuwa about 10 years ago niliskia alionekana BURUDA

ile nyumba sijui iliishia wapi


Of couse naikumbuka sana ile fulana na jezi ya JOHNSON ya LAKERS na hiii inanipelekea kumzungumzia SUBJECT no 2 kwenye hiyo post yako bwana MSAFIRI

MSAFIRI alikuwa mweupe hivi na mfupi na mpenzi wa mpira ile kinoma....nitakuwa nakuongopea sijui aliishia wapi lakini ninachokua alikuwa na washikaji zake wanauza mitumba hivyo hata zile spea si zipte zilikuwa zinatoka viwanja na kwa sababu deri la mitumba likifunguliwa yeye huwa yupo so kila siku yeye ni mtu wa kupendeza tuu sijui kama aliacha tabua ya kuninginiza kitambaa matakoni kwenye jeans


HAMIDU MACHUA aka DALAMINI

Hamidu ndio alishalowea kule Cape town na mshikaji wake HIMIDI alipopigwa palanja UK aliamua kumjoin...inshort ninavyojua mimi habri za mwisho za MACHUPA ni kua alifungua BED AND BREAKFAST kwenye mji mmoja unajiwa CARTHAGENA ...eti target ilikuwa ni wale wanaofanya ECO-TOURISM wakati mwenyewe nadhani unajua whats up?

Once again dont be decievd Machupa ni mtoto wa TEMEKE kama wengine na kwao ni TABORA in short ni MNYAMWEZI ambaye kalelewa na wazaramo na sasa hivi ni raia wa RSA! inshort hatembei na ile kadi ya CCM

Cant knock the brothers Hustle

MALAYA:

Uliowataja yule migoko alikuwa anaitwa PAMELA alipata bwana wa KIDHUNGU na alivuta huu mwaka wa pili


Anty Mele naye alivuta

Bubu nasikia alikwenda Ujerumani na mDHUNGU wake


and having said that Unakumbuka lile booty la DINA anty yake BANDORA?

Costa namkumbuka.

Nilikutana na mdogo wake Himidi, anaitwa Ahmed, mwaka jana kama sikosei. Nafikiri anaishi NY. Halafu walikuwa na dada yao aitwaye Kulthum alikuwa na utege fulani hivi. Mh mh...unamkumbuka?

Hivi unajua mdogo wake na Machupa (Chipeta) walimpiga shaba Sauzi? Hii inanikumbusha kuna dogo mmoja hivi aitwaye Ilamenya. Huyu dogo aliuzaga Pick-up ya dingi yake na akazamia Sauzi. Mshikaji alivyorudi, alikuwa na grill mdomo mzima. Basi alikuwa anakenua meno muda wote, kama mwehu, ili watu waone grill zake. Nasikia mshikaji wali mgun down pia.

Halafu George Gordon yuko wapi siku hizi?

Yule magoti bubu alikuwaga bomba sana. Hivi unamkumbuka Jumanne (J), mdogo wake na Daruweshi? Huyu mshikaji alimaliza mambo kwa bubu kwa kumdanganya kuwa atampatia visa ya kwenda marekani. Nakumbuka mshikaji alichukuaga fomu za kuomba visa za marekani na kujaza info za yule magoti. Basi bubu kwa kutojua akadhani hiyo ndo visa yenyewe. Akasaula!

Halafu J alikuwa na uchungu na mtoni wakati wengi wetu tulikuwa hatuna hata wazo la kuanza. Nakumbuka mshikaji akiona pipa (hata kama ni Air Tanzania) angani alikuwa anachanganyikiwa. Kila siku alikuwa anasema "one day yes!" Basi tukawa tunamwambia aanze kutembea kwa miguu taratibu tu atafika...Pwani, Tanga, Arusha, Nairobi...mpaka atafika tu.... Ukweli ni kwamba, mshikaji alichangia kutuingizia vijana wengi, pale kijiweni business, idea ya kuja mtoni. Kila akija kijiweni ndio zilikuwa story zake. Matokeo yake wengi tukajawa na jazba na kutimua, halafu mshikaji akakwama Bongo. Anyway, tetesi ni kwamba siku hizi mshikaji ni jambazi la kutumia silaha.

Namkumbuka yule mnywaranda Dina. Duh alikuwa na kiuno cha dondora. Hata yule dada yake (mama bandora) alikuwa hivyo hivyo tu. Vipi Masha Makata unamkumbuka? Huyu dada we acha tu! Sijui yukowapisiku hizi? Halafu mama yake si ndo alikuwa Miss Tanzania wa kwanza kabisa (miaka ya 60?)
 
So far ninaona kuna mengi sana ya kuchangia kwenye hii thread... Ndio mwanzo nimeamka na nina siku ndefu sana ya kuwa hapa. Kuhusu kufungiwa wala usiwe na wasiwasi, mie sijawahi kufungiwa hapa JF maana sijawahi hata siku moja kutoa matusi. Kama mama alifungiwa jana, usitegemee the same fate kwangu.

It aint gonna happen.... the best you can do ni "kuni-ignore" kama GT na kisha uingie kwa jina lingine (kama yale mengine ya GT) na uendelee haya mazungumzo na mimi.

Huhh?!?!?! 😱😱
Vipi tena mbona tunapelekana huko tena......Mimi jina langu humu ndani ni Mwazange bin Mwazange...the only one....vipi tena mbona hayo....?
 
lazima nikusalute MWK,at a stroke umetutoa kwenye mada.kumbuka kuna thread ya arsenal na chelsea,mchango wako unaitajika huko pia
 
Back
Top Bottom