maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
- Thread starter
-
- #121
Upepo Mzito Huu...Sema Tu familia zinatufunga Gavana aisee...Pole kwa hasira tuma namba inbo..nikubembeleze cha kudeka...Ebu jaribu kujielezea nione kama kweli ntakuwaza, ndiyo nimekasirika sana tu🤪
Kwahio ulienda kujaza inzi na mirinda yako??Wale kaunta wapuuzi sn wanadhani mtu asiye kunywa pombe hana pesa
Sinywagi soda mkuu,ukihitaji pombe sema nikakununulie kreti 100 unywe ujifie napesa kwangu haishi wala haipunguiKwahio ulienda kujaza inzi na mirinda yako??
Kiroho mbayaSinywagi soda mkuu,ukihitaji pombe sema nikakununulie kreti 100 unywe ujifie napesa kwangu haishi wala haipungui
Mkuu nitume namba kweli ama ulikua unanizingua tu? Sinaga masikhara kwenye mambo serious ya pesa😂 nimekasirika zaidi hapaUpepo Mzito Huu...Sema Tu familia zinatufunga Gavana aisee...Pole kwa hasira tuma namba inbo..nikubembeleze cha kudeka...
Kinachokuwa kosa huwa ni dili kubwa
Tuma namba PM upewe mchongo wa town..ushikwe na mkono...uongozweMkuu nitume namba kweli ama ulikua unanizingua tu? Sinaga masikhara kwenye mambo serious ya pesa😂 nimekasirika zaidi hapa
Una uhakika ni nyakati hizo??Kuna watu enzi za kikwete nawafahamu waliajiriwa na tajiri mmoja Wao kazi yao nikuteka, kuua, kulawiti na kila aina ya uchafu wanafanya Wao na wanahela balaa sijajua Kama wapo Mpaka Sasa hivi
Anafunguka Sana kweliHaha sema unafunguka sana.. Kama unataka kuweka mchanga kwenye vitumbua vya watu.
Be careful mwambaTuma namba PM upewe mchongo wa town..ushikwe na mkono...uongozwe
Au Sabaya style siku yakiwakutaKuwa makini na hao marafiki wahalifu na huyo anayeshirikiana na police Hadi bagamoyo watamuua, hana siri
Tuma namba PM upewe mchongo wa town..ushikwe na mkono...uongozwe
Mkuu...thanks for a reminder....nipo hapa JF since 2009...May....yaani nina thread zina 12 years...! Still i need her number in PMBe careful mwamba
Mkuu ntakucheki ...muda ndio Ishu...Hahaha Ebana Mkuu Endelea Kufunguka....Hahaha Kuna Mengi Sana Najifunza Hapa.
Kila urafiki..una mzingo wake...kama urafiki hauna mzingo..hilo sio kosa la mtu yoyote..na yatakayompata yoyote hayana lawama...perimeterAu Sabaya style siku yakiwakuta
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuwa makini na hao marafiki wahalifu na huyo anayeshirikiana na police Hadi bagamoyo watamuua, hana siri
Nikupe mkono tushindane siyo? Mkuu huniwezi kipesa wala kisiasa😂😂Tuma namba PM upewe mchongo wa town..ushikwe na mkono...uongozwe