Watoto wa Mjini na Mishe za kushangaza Town. Jifunze kitu...

Watoto wa Mjini na Mishe za kushangaza Town. Jifunze kitu...

Akitokea mtu anaeweza kutengeneza konyag,kvant value na pombe Kali zizote kimagumashi

Mniunganishe nae na mm nipige pesa natesaeka sana
Mkuu Kvant iache wenzio walishatangulia mbele ya haki unamjua lema ww? Uje inbox tukueleweshe..roho yako na mwili wako visikosane vikapeana talaka
 
Chekecha...we si wa town kabisa...!
Search wikipedia bana..

Screenshot_20211206-183605_Chrome.jpg
 
Sio Rahisi...maana ni ili afe ni lazma na maaskari wafe yani yeye anaenda nao kama askari then wanagawana hela wanaenda kula bata intel wanayo police wenyewe
Police watakuja kumgeuka, ni suala la muda tu. Maana hata baadhi ya police ni wahalifu sasa huyo jamaa anafanya michongo ya kuchomea madili ya watu, watamla kisamvu afu ndo wamuue.
 
Sio Rahisi...maana ni ili afe ni lazma na maaskari wafe yani yeye anaenda nao kama askari then wanagawana hela wanaenda kula bata intel wanayo police wenyewe
Hata Hawa unaosikia majambazi yameuliwa hufanya mishe za kijambazi na mapolice na kugawana, ikifika mda Wana malizwa, so asijiamini yuko salama atakufa siku si zake
 
Hata wa sex toys ni mharifu tena huyo anaweza kua na kesi kubwa zaidi ya hao wengine.

Kwanza kaagiza mzigo kimagendo maana hairuhusiwi kuingiza hizo bidhaa nchini. Mbaya zaidi anazisambaza kabisaa anaingiza pesa haramu.
Na pia anatanua mbususu za mabinti/wake za watu kinyume cha sheria ya kujamiana ya mwaka 2018 sura ya pili C.
 
Wote wakifanya janja janja wenzako wataishi wapi hao.. hao wameishi kwenye mambo hayo.. acha watu wafanye michakato ya maana.. hao wote hamna mwenye uwezo sema tu wanaweza kufanya kitu flani. Kama hizo bia mbili sijui na kuendesha vivitz..
Hao madalali wa wanawake wale wale pia.
 
Back
Top Bottom