Watoto wa Mjini na Mishe za kushangaza Town. Jifunze kitu...

Watoto wa Mjini na Mishe za kushangaza Town. Jifunze kitu...

Unakutana nayo wapi? Inakuja vipi. Ukiwa na mshkaji mwenye mshkaji mwenye mipango ama ?
Hapo hapo...na ukipewa mpango uufanye straight..kuna watu hapa mjini wana baiskeli kama hamsini anachukua vijana huko vijijini anawalipa kwa mwezi..ndio wale vijana wanauza sumu ya panya na mapunye
 
Hapo hapo...na ukipewa mpango uufanye straight..kuna watu hapa mjini wana baiskeli kama hamsini anachukua vijana huko vijijini anawalipa kwa mwezi..ndio wale vijana wanauza sumu ya panya na mapunye
Dah. Nakusoma sasa. Kweli Mjini Mipango. Nguvu tuache juko. Umenena vema. Niliona Arusha kuna baiskeli unapanda kwa TZS 500 from maeneo ya nnje ya Mji to center. Watu wabunifu sana.

GOD BLESS TANZANIA.
 
Akitokea mtu anaeweza kutengeneza konyag,kvant value na pombe Kali zizote kimagumashi

Mniunganishe nae na mm nipige pesa natesaeka sana
Teh..

Kwanini umekuwa specific hivyo? Mimi najua anaetengeneza vipodozi na perfume za kupima Pima. Anakoroga koroga tu mafuta na kuweka kwenye vijichupa. Kazi ku print tu label za brand kubwa na kupachika bhas. Na mdomoni tantalila ziwepo Sasa ili kuwajaza vizuri.
 
Pesa itafutwe kwa mjia yoyote,jana nilikuwa pale tiptop club nabado nilidharaulika kwa kijipesa changu cha lk3dadeq
Mkuu hilo eneo ikifika night kali ni balaa tupu mzee unaweza toa hadi zambi
 
maishapopote mimi nakushauri utafakari na kujiuliza katika hizo shughuli, ipi ni shughuli halali ya kujitafutia kipato? Je shughuli hiyo unaweza kumfundisha mwanao ili nae afanye kuendeleza maisha?
Uzuri wa kipato bana ni pale ambapo kinatumika kukamilisha ratiba za kawaida za maisha!

Kinavyopatikana huwa sio swala la msingi sana iwe kwa kubeba magunia ya viazi ama kukaba haijalishi! Cha muhimu ni pale mke anataka hela na baba unapekua mfuko wa juu wa shati unachomoa noti kadhaa unampa!
 
Back
Top Bottom