maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
- Thread starter
- #41
Ilikuaje mkuuPesa itafutwe kwa mjia yoyote,jana nilikuwa pale tiptop club nabado nilidharaulika kwa kijipesa changu cha lk3dadeq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuaje mkuuPesa itafutwe kwa mjia yoyote,jana nilikuwa pale tiptop club nabado nilidharaulika kwa kijipesa changu cha lk3dadeq
Mkuu habari ya watoto wangu naamini haihusiki hapa ila jua kabisa hapa mjini kuna watu wanafanya kazi za ajabu mno hivi unajua kuna watu wamekua matajiri kwa maana ya nyumba tatu gari na watoto shule nzuri kwa kua tu wapambe wa kina omar bakhresa..na kuwaletea gomba aina ya kangeta?maishapopote mimi nakushauri utafakari na kujiuliza katika hizo shughuli, ipi ni shughuli halali ya kujitafutia kipato? Je shughuli hiyo unaweza kumfundisha mwanao ili nae afanye kuendeleza maisha?
Panaitwa Hadesi...Jahannam.
Umenisambaza,gomba,tangeta?Mkuu habari ya watoto wangu naamini haihusiki hapa ila jua kabisa hapa mjini kuna watu wanafanya kazi za ajabu mno hivi unajua kuna watu wamekua matajiri kwa maana ya nyumba tatu gari na watoto shule nzuri kwa kua tu wapambe wa kina omar bakhresa..na kuwaletea gomba aina ya kangeta?
Waulize wajuzi mkuu hapa JF utafundishwaUmenisambaza,gomba,tangeta?
Niunganishe mkuuHii pia kuna mdau anifanya ila ana madem zake specific
Huyu wa dawa za mchwa anatengeneza mwenyewe locallyWenye akili na pesa halali ni huyo wa dawa za nchwa na muuza milango Wengineo.... Anything can happen
Safi.Hiyo ndiyo akili na pesa halaliHuyu wa dawa za mchwa anatengeneza mwenyewe locally
kuna jamaa yangu mmoja yeye anakodiwa kwa ajili ya kuwaingilia wadada kinyume tu
Saaana hapa mjini kuna mabalaa sana kuna wachina nawajua wana godown wanauza vioo vya magari bei cheap sana ila sasa wao wanadeal na mafundi tu yaani unaenda kwa fundi unampa hela anakuagizia kioo kinaletwa kwa boda..Mjini mipango
Haha sema unafunguka sana.. Kama unataka kuweka mchanga kwenye vitumbua vya watu.Saaana hapa mjini kuna mabalaa sana kuna wachina nawajua wana godown wanauza vioo vya magari bei cheap sana ila sasa wao wanadeal na mafundi tu yaani unaenda kwa fundi unampa hela anakuagizia kioo kinaletwa kwa boda..
Then anakuwekea ..balaa hakuna anaejua godown yao iko wapi
Ni open secret mkuu..by the way nacheza kwenye line...mkuu siruki mpaka najua athari zakeHaha sema unafunguka sana.. Kama unataka kuweka mchanga kwenye vitumbua vya watu.
Mipango ya mjini haipangwi inakuja tu...!Kweli Mipango, Dah hii mipango inapangiwa wapi ?