maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,408
- 6,094
- Thread starter
-
- #141
Unanipima kisiasa? Mi sio nyoka bana! Kipesa sikuwezi najua long time...njoo nikuonyeshe dark world..the underwold..thrievieng na utakayofurahi...nikushike mkono mtaani..kibingwa kabisa...ukija uje na mwili na roho akili iache hukooo masaki yenu..! Usisahau mi sio mswahili..usitegemee tandale,sijui temeke au tandika usela sina njoo uone the other side of the wall.....Nikupe mkono tushindane siyo? Mkuu huniwezi kipesa wala kisiasa😂😂
Masaki? Nani anakaa huko sasa mi nipo Buza huku, dark world? How did you know it?Unanipima kisiasa? Mi sio nyoka bana! Kipesa sikuwezi najua long time...njoo nikuonyeshe dark world..the underwold..thrievieng na utakayofurahi...nikushike mkono mtaani..kibingwa kabisa...ukija uje na mwili na roho akili iache hukooo masaki yenu..! Usisahau mi sio mswahili..usitegemee tandale,sijui temeke au tandika usela sina njoo uone the other side of the wall.....
Kwa kifupi "ukiacha wa sex toy" wengine wote ni wahalifu........
Maisha ya mtu ni siri nzito sana...
Cc: juma lokoleMkuu habari ya watoto wangu naamini haihusiki hapa ila jua kabisa hapa mjini kuna watu wanafanya kazi za ajabu mno hivi unajua kuna watu wamekua matajiri kwa maana ya nyumba tatu gari na watoto shule nzuri kwa kua tu wapambe wa kina omar bakhresa..na kuwaletea gomba aina ya kangeta?
Haaa jamaa aliwatungua???Mkuu Kvant iache wenzio walishatangulia mbele ya haki unamjua lema ww? Uje inbox tukueleweshe..roho yako na mwili wako visikosane vikapeana talaka
Usalama wa Taifa at work.... Mkuu mtoa uzi kuwa makini. [emoji3061][emoji2211][emoji2211][emoji2211]Mkuu nitume namba kweli ama ulikua unanizingua tu? Sinaga masikhara kwenye mambo serious ya pesa[emoji23] nimekasirika zaidi hapa
Acha kutisha watu wewe kibobo.. ushakutana na usalama humu?Usalama wa Taifa at work.... Mkuu mtoa uzi kuwa makini. [emoji3061][emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha kuroga hapo; mwanamke akiwa na pesa alafu ukamfikisha kunako ambapo hakuna mtu amewahi mfikisha ata awe mchaga yule bahili kabisa lazima atakupa mpungaWatu wamepinda sana mkuu ujue watu wanatafuta wamama wenye hela halafu wanawaloga..balaa sana
Kale kasehemu kalikuwa la kawaida ola siijui jamaa kaenda kuroga wapi mpaka pamekuwa vile?Pesa itafutwe kwa mjia yoyote,jana nilikuwa pale tiptop club nabado nilidharaulika kwa kijipesa changu cha lk3dadeq
Nimeandika nimefutaSio Rahisi...maana ni ili afe ni lazma na maaskari wafe yani yeye anaenda nao kama askari then wanagawana hela wanaenda kula bata intel wanayo police wenyewe
Sorry sijakuelewa "imooo" nini? Masikhara ya nini?Kimasihara masihara mara paap...imooo
Mkuu unapenda kuwa Frontline kuwa enjoy mafisi.
Mlevi yupo tayari kumnunulia mtu hata kreti lakini si kumsaidia kilo ya unga. Pepo la ulevi ni baya sanaSinywagi soda mkuu,ukihitaji pombe sema nikakununulie kreti 100 unywe ujifie napesa kwangu haishi wala haipungui
Ukipata usinisahau mwenzaMkuu nitume namba kweli ama ulikua unanizingua tu? Sinaga masikhara kwenye mambo serious ya pesa[emoji23] nimekasirika zaidi hapa
Sinywagi pombe mkuu,mimi nikienda club au baa ujue nimeenda kula nyama choma,au nimeenda kuangalia live band.Mlevi yupo tayari kumnunulia mtu hata kreti lakini si kumsaidia kilo ya unga. Pepo la ulevi ni baya sana
Ukipata hizo pesa hama kiwalaniMkuu nitume namba kweli ama ulikua unanizingua tu? Sinaga masikhara kwenye mambo serious ya pesa[emoji23] nimekasirika zaidi hapa