Watoto wa Reginald Mengi wapo tofauti sana

Watoto wa Reginald Mengi wapo tofauti sana

Haya K - lyn kaanza kuonesha mahaba hadharani!

Mzee Machache kazoea privacy bana khaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Honestly hicho kitu kinaniboa sana.. Jackie is over him na wakati Mzee hakuwa mtu wa public sana kwenye maisha yake binafsi..

Ila ndo hivyo, acha Mzee ufurahie maisha aliyobakiza..
 
Tuseme za ukweli dogo kala bata bwana.
Bata yake haikuwa ya mawazo kabisa.
Hahahahaha fly boys.. Daaahh bata kalila sana na alikuwa analiwezea wala halilazimishi..

Alafu alikuwa ni beloved son wa Mzee.. Vimillion mbili tatu vya kutumia weekend na kina Haji, Heri vilikuwa havimpigi chenga..
 
Hahahahaha fly boys.. Daaahh bata kalila sana na alikuwa analiwezea wala halilazimishi..

Alafu alikuwa ni beloved son wa Mzee.. Vimillion mbili tatu vya kutumia weekend na kina Haji, Heri vilikuwa havimpigi chenga..
Siku alivamia pale Best Bite na crew yake kuwanyoosha mabrazameni wa Dar. Hahaha yule dogo bwana.
 
Uzi umefukuliwa, na bado hata picha zimeshinikana kuwekwaa

USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
 
Angalau sasa amekuwa na ameoa yule Mwarabu wake..


Iddi Mahita kumbe alioa Mwarabu? Ndio maana ametulia sasa sijamuona Miaka mingi sana , alikua anaugonjwa wa kupenda wasichana weupe
 
Wakuu hivi Regina Mengi ameshaolewa? Mwenye mawasiliano yake tafadhali, ili niweze kumfariji tu..
 
Hahahaha,
mtoto Iddi kazua balaa, mtoto Iddi kazua mikosi...🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Iddi cha mtoto tu uliwahi kukutana na kina Hippie na mdogo wake miaka ya la dorce vita?
Le mutuz anaotaga tu ila wale walitafuna bata
 
Una uwakika? Kama hawafanyii bongo je? Napata taabu kidogo kwsbb kama baba anachukua kibinti / kitoto chake , sijui itakuwaje kwa wanaye
Ulimjua vizuri motie? R.I.P. motie
Na dad R us*og*?! Aulize watu...
 
Bado wa Ntuyabhaliwe
Screenshot_20190505-224032.jpeg
Screenshot_20190505-225008.jpeg
 
Back
Top Bottom