witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Haya K - lyn kaanza kuonesha mahaba hadharani!Angalau sasa amekuwa na ameoa yule Mwarabu wake..
Mzee Machache kazoea privacy bana khaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya K - lyn kaanza kuonesha mahaba hadharani!Angalau sasa amekuwa na ameoa yule Mwarabu wake..
Tuseme za ukweli dogo kala bata bwana.Angalau sasa amekuwa na ameoa yule Mwarabu wake..
Iddi Mahita.. Mtoto wa eX-IGP.. Alisumbuaga sana huyu kijana miaka ya 2000's
Honestly hicho kitu kinaniboa sana.. Jackie is over him na wakati Mzee hakuwa mtu wa public sana kwenye maisha yake binafsi..Haya K - lyn kaanza kuonesha mahaba hadharani!
Mzee Machache kazoea privacy bana khaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha fly boys.. Daaahh bata kalila sana na alikuwa analiwezea wala halilazimishi..Tuseme za ukweli dogo kala bata bwana.
Bata yake haikuwa ya mawazo kabisa.
Siku alivamia pale Best Bite na crew yake kuwanyoosha mabrazameni wa Dar. Hahaha yule dogo bwana.Hahahahaha fly boys.. Daaahh bata kalila sana na alikuwa analiwezea wala halilazimishi..
Alafu alikuwa ni beloved son wa Mzee.. Vimillion mbili tatu vya kutumia weekend na kina Haji, Heri vilikuwa havimpigi chenga..
Aaaaahh ila kwenye bling bling Iddi was from another level.. Alikuwa anajua kuvaa banaSiku alivamia pale Best Bite na crew yake kuwanyoosha mabrazameni wa Dar. Hahaha yule dogo bwana.
Siku moja kaja na mkanda wenye Buckle umandikwa Iddi nilimuangalia nikacheka tu.Aaaaahh ila kwenye bling bling Iddi was from another level.. Alikuwa anajua kuvaa bana
😝😝😝 Abdiel kagoma ku_aplodiwaUzi umefukuliwa, na bado hata picha zimeshinikana kuwekwaa
USOGA WI KUA KATI MWINA NSONGOO
Angalau sasa amekuwa na ameoa yule Mwarabu wake..
Fursa hiyo ichangamkieWakuu hivi Regina Mengi ameshaolewa? Mwenye mawasiliano yake tafadhali, ili niweze kumfariji tu..
Iddi cha mtoto tu uliwahi kukutana na kina Hippie na mdogo wake miaka ya la dorce vita?Hahahaha,
mtoto Iddi kazua balaa, mtoto Iddi kazua mikosi...🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Na dad R us*og*?! Aulize watu...Una uwakika? Kama hawafanyii bongo je? Napata taabu kidogo kwsbb kama baba anachukua kibinti / kitoto chake , sijui itakuwaje kwa wanaye
Ulimjua vizuri motie? R.I.P. motie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu hivi Regina Mengi ameshaolewa? Mwenye mawasiliano yake tafadhali, ili niweze kumfariji tu..