Ha huu uzi umefufukaMh sikweli kuna jamaa yangu alikuwa anapiga huyu bibie miaka ya 90 na alikuwa anamfuata Kinondoni na M Benzi fulani hivi enzi hizo ulikuwa hatari sana unless kama kaanza hiyo michezo sasa hivi
Hata watoto wa Bakhresa nao hawanaga za kuuza sura, sasa watoto wa wale mabillionea wa pesa za madafu mama yangu wanauza sura kuanzia insta, whatsapp mpaka magazetiniImezoeleka watoto wa mabilionea kuwa na kashfa mbalimbali kama za kifisadi, madawa ya kulevya, wizi, umalaya nk but kwa watoto wa huyu mzee maarufu imekuwa tofauti sana kusikia kashfa zao ni nadra sana kuwakuta wakiuza sura kwenye TV kiukweli au kuwaona kwenye viwanja vya bata hapa bongo ni mfano wa kuugwa kwa kweli kwa watoto wa matajiri r. i. p.motiel mengi.. ila hawa watoto ni mfano wa kuigwa
Mh sikweli kuna jamaa yangu alikuwa anapiga huyu bibie miaka ya 90 na alikuwa anamfuata Kinondoni na M Benzi fulani hivi enzi hizo ulikuwa hatari sana unless kama kaanza hiyo michezo sasa hivi
Fikiria Wema na Mabeto wangekuwa watoto wa Mengi sijui kama tungekuwa tunalalaHata watoto wa Bakhresa nao hawanaga za kuuza sura, sasa watoto wa wale mabillionea wa pesa za madafu mama yangu wanauza sura kuanzia insta, whatsapp mpaka magazetini
kuna mwanae mmoja anaitwa yussuph,aaahh yule jamaa ana hela aiseeeFamilia ya bakhresa pia wametulia Sana hawana skendo wala mi sifa ya kijinga
Umefufuka sababu Bi Mkubwa ameitwa na muumbaHa huu uzi umefufuka
Mama Mercy Mengi through the mercy of God may your soul Rest In PeaceUmefufuka sababu Bi Mkubwa ameitwa na muumba
RIP Mrs Mercy Mengi
Amefariki kweli?Umefufuka sababu Bi Mkubwa ameitwa na muumba
RIP Mrs Mercy Mengi
Amefariki kweli?Mama Mercy Mengi through the mercy of God may your soul Rest In Peace
Hakuna aliyekanusha habari hiziAmefariki kweli?
Ila ww mama unajua kuchimbua mamboRumours has it Regina ni mkoboaji na mpaka sasa hajaolewa wala hana watoto.
Ila hata baba yake wema hakuwa mtu dhaifu piaFikiria Wema na Mabeto wangekuwa watoto wa Mengi sijui kama tungekuwa tunalala
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Magogoni sio kwao ni nyumba ya kupanga wala hawatakiwi waizoee kwao kolomije huko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hasa Wema...Dada lina vurugu balaa!Fikiria Wema na Mabeto wangekuwa watoto wa Mengi sijui kama tungekuwa tunalala
Ila mkuu kama ni kutusua warembo kibongobongo wala sio tabia ya kusema mbovu. Ishu inayozungumziwa ni mashauzi ya pesa kama ya baadhi ya watu wanaotuonesha midola yao mitandaoni.Tatizo sio kuwajua vizuri. They managed to keep low profile. Kama kujuana hata wewe unatabia zako mbovu tu, hata Mkemia mkuu nae anatabia zake mbovu tu.. Ila hizo weakness zao wanaweza kuzificha na pia hawana nyodo kwenye mitandao au maisha ya kawaida kama watoto wengine wa matajiri
Je zari?[emoji23] [emoji23] [emoji23] hasa Wema...Dada lina vurugu balaa!
Itakua alicheleea kuja mjini huyu amekuja na basi la Buti La Zungu au Kiazi Kitamu, hao watoto wa kuzaa uzeeni subiri wakue utaona mashauzi huyo Motie sijui Mutie alikua mpenda starehe sanaUna uwakika? Kama hawafanyii bongo je? Napata taabu kidogo kwsbb kama baba anachukua kibinti / kitoto chake , sijui itakuwaje kwa wanaye
Ulimjua vizuri motie? R.I.P. motie
Yes motie namkumbukaItakua alicheleea kuja mjini huyu amekuja na basi la Buti La Zungu au Kiazi Kitamu, hao watoto wa kuzaa uzeeni subiri wakue utaona mashauzi huyo Motie sijui Mutie alikua mpenda starehe sana