FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,169
- 13,455
Ahahahahaha, mkuu utakuwa huwajua vizuri wewe. Ngona niishie hapa.
Tatizo sio kuwajua vizuri. They managed to keep low profile. Kama kujuana hata wewe unatabia zako mbovu tu, hata Mkemia mkuu nae anatabia zake mbovu tu.. Ila hizo weakness zao wanaweza kuzificha na pia hawana nyodo kwenye mitandao au maisha ya kawaida kama watoto wengine wa matajiri