Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
MmmmhhhhHuyu jamaa hakua na shobo kabisa, in those old days as a group one day tulinguka viwanja all night long
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmhhhhHuyu jamaa hakua na shobo kabisa, in those old days as a group one day tulinguka viwanja all night long
Hiyo lodge naifahamu. Inaitwa Bibi Errah lodge. Ipo Tabata Magengeni pale karibu na branch ya CRDB anapofanyia kazi Dataz.. Mbele kidogo ya kanisa jirani na shule ya Kenton (nasikia shule haipo siku hizi).Mkuu hujanielewa.ngoja nikueleweshe kidogo. Sijasema watoto wa Mengi kwao Bukoba.nimesema kuna watoto wa kamanda Tibaigana walisumbia sana kitaa.hiyo familia ulikua na Lodge mitaa ya Tabata kanisani sasa wanae walikua wanawamaliza watoto wa tabata na around.sijui umenielewa?
Mwaka gani?Ninaongea ninachofahamu Regina alisoma Weruweru.
Typing error hubbyMmmmhhhh
88-90 thinkMwaka gani?
Baba zao walikua marafiki si MM jina lake. Hata yeye Baba yake ni mmoja wa ma director wa kwanza wa IPP. Ingawa ni marehemu lakini familia inapata share kila mwaka.
Mh unatisha Mama kweli kbs nilikuwa nacheza nae kikapu pale kota za Tanesco umri ni humo humo japo unaweza kushuka 43 to 46...Atakua kati ya 48-50
Kwaho mengi hana hata mjukuu?Mh unatisha Mama kweli kbs nilikuwa nacheza nae kikapu pale kota za Tanesco umri ni humo humo japo unaweza kushuka 43 to 46...
Eeeeee anakoboa niniRumours has it Regina ni mkoboaji na mpaka sasa hajaolewa wala hana watoto.
Unaona sasa unapokosea?Miongoni mwao ni mimi hapa NAHUJA🙄🙄
Sina hakika khs ilo mkuu maana sipo mjini miaka mingi...Kwaho mengi hana hata mjukuu?
Miaka mitatu? Weruweru ya miaka hiyo ilikuwa Weruweru kweli. Weruweru ya mama Khan88-90 think
Duh... umechemka. Angalau fanya 46 to 49Mh unatisha Mama kweli kbs nilikuwa nacheza nae kikapu pale kota za Tanesco umri ni humo humo japo unaweza kushuka 43 to 46...
Yaah mama Kamu sikumbuki vizuri unaweza kuwa 89-90Miaka mitatu? Weruweru ya miaka hiyo ilikuwa Weruweru kweli. Weruweru ya mama Khan
Hubby ninachokumbuka wakati ule Bonite imefunguliwa alafu mtoto wa Mengi mko nae bweni moja acha tu.Unaona sasa unapokosea?
Thread ya lini hii?Unaona sasa unapokosea?
Atakua kati ya 48-50
Kashavuka menopauseYule pale umri umeenda aiseee nahisi hata jacky ni mdogo kwake
Basi bwana hiyo miaka ya awamu ya pili, MM alichemka majibu ya form IV. Alipelekwa kurudia Kiraeni, aliwachanganya watoto wa watu huko, wakawa wanapigana.Aisee!
Kipindi namuona alikuwa hafanyi kazi, ila ana nyumba na gari, nikawa najiuliza kwa maisha ya London unawezaje kulipa nyumba, gari na kula bila kazi.
Salute!