Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

Hahahahahaahahhaahah nimecheka sana ile staili kiboko......unafumuliwa vizuri tena ukute mboga kidogo halafu wewe unakula ulaji wa hovyo uuuwi

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee tume teswa sana.
Sasaivi watoto wana towea mchuzi mbele ya babazao, wana chukua nyama bila kuambiwa kama wazee daah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee tume teswa sana.
Sasaivi watoto wana towea mchuzi mbele ya babazao, wana chukua nyama bila kuambiwa kama wazee daah.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mitoto ya sikuhizi inaweza kumwambia mzazi "mshenzi we" na mzazi akakenua meno tu......

Mimi mama yangu ni mkali vibaya mnooo hata Leo nikimtibua karibu yake Kofi linanihusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hapo! Ndo kumesababisha enzi hizi kuwa na kichwa. Siku hizi hakuna viboko basi balaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipata ZIRO utachapwa tu hamna namna!
 
Hahahahhahahahahaha nielekeze huu mfuko wa kijaruba upoje mkuu
Miaka ya themanini kuna watu waliibuka kutengeneza mifuko kwa kutumia Ukili (Ukindu) na baadhi ya wazazi wa Uswahilini hasa ndiyo ilikuwa mifuko ya kubebea madaftari kwa watoto wao. Baadae hata magunia ya juche yalitumika pia.

Ukifunua Kawa lililofunikia chakula cha baba mwenye nyumba, utachapwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…