Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚uwii mkuu mbavu zangu
 
Umeenda kuoga mara sabuni ikadondoka chini ikawa na mchanga .utachapwa tu.
 
Kukalia kiti anachotumia mzee.. Utachapwa.
Kutumia sahani na vikombe vya dingilai yani hapo ni kama umeisiga na kuikanyaga katiba.. Mahakama ya baba mkazi lazima ikuhusu. Ni viboko mbele ya watoto wengine halafu unakiri kosa, na adhabu ndogo ndogo kufagia banda la kuku wiki nzima...
 
Reactions: Cyb
Dah usipofanya homework hauchapwi....[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Ukimwambia mtu kuwa yeye kwamba ni.

Underdog - utachapwa

Ukimdhihaki mtu kuwa ni yeye ni mtu wa,

Hovyohovyo - utachwapwa

Ila Kama ni Swahiba wa Mtukufu huchapwi.
Wala huruhusiwi kumwomba radhi mtu yoyote hata kama umemkosea.
Kwakuwa Unakuwa ni Kipenzi Pekee cha cha Mtukufu.

Chifu wa Kabila Lenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifumwa unatoka direction ya jikoni na tuchembe chembe twa sukari pembeni ya mdomo, halafu unaulizwa nini hiyo mdomoni, "Mara unajibu oooh sijui iiiiih" hutoi Maelezo yaliyonyooka, Kumbe umetoka kulamba sukari jikoni.
Lazima uchapwe tu.
 
Ukisumbua kanisani ukirudi nyumbani utachapwa
Ukipewa sadaka ukala pipi utachapwa

Ukichelewa sunday school unachapwa



God first
 
Ha ha ha ha ha Aisee nimecheka kinoma
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from Nokia 7 Plus
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. ukimuomba mgeni hela utachapwa
2. Ukimtizama mkubwa jinsi anavyokula utachwapa
3. Ukigoma kuoga utachapwa
4. Ukichafuka baada ya kuoga utachapwa
5. Ukipata 98% kwenye mtihani utachapwa kwann hukupata mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…