Ukijamba mkiwa wa 3 wakati wa kula usiku mezani lazma utafutwe ata kwa kunuswa!!! Ukijuwa utagundulila bora utoke nduki ukalale kwa mjomba kuepuka kipigo kisicho kuwa na kipimo!!
Maana ukichapwa ukaendela kulia zoezi Lina anza upya! Ukichapwa ukajamba tena zoezi linaanza tena Automatic!!
26. Ukitembea na mtu mzima, ukajikwaa na ukaangua kicheko, utachapwa.
sio pipi bosi ni peremendeUkivaa ndala za mzee utachapwa
Ukichelewa kuwaishule utachapwa
Usiposafisha banda utachapwa
Usipooga utachapwa
Ukiwa mchoyo utachapwa
Ukiomba omba pipi utachapwa
Well noted hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]uwii mkuu mbavu zangu
Ha ha ha ha ha Aisee nimecheka kinomaUkijamba mkiwa wa 3 wakati wa kula usiku mezani lazma utafutwe ata kwa kunuswa!!! Ukijuwa utagundulila bora utoke nduki ukalale kwa mjomba kuepuka kipigo kisicho kuwa na kipimo!!
Maana ukichapwa ukaendela kulia zoezi Lina anza upya! Ukichapwa ukajamba tena zoezi linaanza tena Automatic!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1.Ukiagizwa dukani na mama ukaonyesha kukasirika utachapwa.
2. Ukikutwa unaangalia miziki ya kizungu wamevaa vibaya utachapwa.
3. Mtoto wa jirani akikupita shuleni utachapwa.
4. Ukivunja sahani au kikombe cha udongo viboko.
5. Ukidondosha chenji utakula mboko.
6. Ukicheza mvua inanyesha utachapwa [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kabisa kabisa aiseee,na hapa funzo ilikwa ni namna ya kutunza vitu vyako na sio kuharibuaribu tu vitu,bila bakora mambo hayawez kwenda
Utachapwa tuUsipoenda madrasa
Usipoenda Sunday school
Jr[emoji769]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ukianza kumega kitoweo kabla ya chakula.. Utakatwa jicho hilo mpaka unashika adabu yako.
Tulikuzwa na mihogo ya kuchemsha, viazi, uji wa dona, mahindi ya kuchemsha. Maandazi mpaka mfuko wa mzee baba utune.Halafu walitufundisha kushukuru.
Hakuna kususa susa.. Sio vitoto vya sasa usipolipia king'amuzi tu.. Wanakununia wao na mama yao. Enzi zetu ukicheka cheka ovyo tu unachapwa.. Ukikasirika unachapwa..
HahahaWakati wakula ukiweka shimo kwenye tonge na kidole ili uchote mchuzi utajuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]ukichungulia wakubwa utachapwa
Jr[emoji769]