ππππHii kitu ilikuwa soo unapitishwa mtaani watoto wanakuzomea yaani bora fimbo aisee kuliko hii adhabuUkijikojolea kitandani, utacharazwa mboko balaa na godoro utabebeshwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu wanakusimamia kuoga maji ya mvua na baridi ya mbeya utafikili wamekupiga nusu kaputi [emoji12][emoji12]
1.Ukiagizwa dukani na mama ukaonyesha kukasirika utachapwa.
2. Ukikutwa unaangalia miziki ya kizungu wamevaa vibaya utachapwa.
3. Mtoto wa jirani akikupita shuleni utachapwa.
4. Ukivunja sahani au kikombe cha udongo viboko.
5. Ukidondosha chenji utakula mboko.
6. Ukicheza mvua inanyesha utachapwa [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Dah...nilimaananisha utachapwa shule[emoji1787][emoji1787]
Sent using Beretta ARX 160
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukanya pembeni akashidwa kulenga choo utachapwa
Ukienda kucheza mpira ukaibiwa ndala utachapwa
Ukichelewa kuoga utachapwa tu
Ukivaa mlegezo utachapwa tu
Ukimcheka mlemavu utachapwa
Ukimuita mlemavu wa ngozi albino badala ya mzungu utachapwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukivaa chupi mpya wakati za zamani zipo utachapwa..[emoji12][emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukaenda kuchezea mpira... [emoji23][emoji23][emoji23]Ukivaa nguo za sikukuu au za kanisani kipindi sio mda wake utachapwa tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa darasa la pili, niliwahi kuiba senti 50 ya dada, halafu nilivyofika shuleni karibia darasa zima lilikula matunda aina ya SUNGWI, kwa kisukuma yanaitwa hiyo, sijui yanaitwaje kwa Kiswahili. Nakumbuka kama senti 5 ilikuwa unapata sungwi 8, kwa hiyo kwa senti 50 jumla ilikuwa ni sungwi 80, na senti 50 yote iliisha siku hiyo!1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena
2. Umechapwa hukulia utachapwa tena
3. Ukijililia tu bila kupigwa, utachapwa
4. Kusimama wakati wazee wameketi, utachapwa
5. Ukiketi wakati wazee wamesimama. utachapwa
6. Kujipitishapitisha mahali ambapo wazee wamekaa, utachapwa .
7. Kuwajibujibu watu wazima, utachapwa
8. Usipomjibu mtu mzima, utachapwa
9. Kujifanya sugu wakati wa unachapwa, utaendelea kuchapwa.
10. Ukitoka kuchapwa, ukaimba au kupiga mruzi, utachapwa tena.
11. Usiposalimia wageni, utachapwa
12. Ukila chakula cha wageni, utachapwa.
13. Kuwalilia wageni wanapo ondoka, utachapwa.
14. Ukikataa kula, utachapwa.
15. Kuchelewa kurudi nyumbani baada ya jua kutua, utachapwa
16. Kula nyumba ya jirani, utachapwa.
17. Kujitia kisirani, utachapwa.
18. Kujitia kujuwa juwa sana, utachapwa.
19. Ukipigana na mtoto mwenzio, akakupiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
20. Ukipigana na mtoto mwenzio, ukampiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
21. Ukiwa unakula chakula polepole, utachapwa.
22. Ukiwa unakula haraka haraka, utachapwa.
23. Ukiwa unakula sana, utachapwa.
24. Kuendelea kulala wakati wazee wamesha amka tayari, utachapwa.
25. Ukiwa unawaangalia wageni wakati wanakula, utachapwa.
26. Ukitembea na mtu mzima, ukajikwaa na ukaangua kicheko, utachapwa.
27. Ukila na wakubwa ukachukua nyama bila kupewa, utachapwa.
28. Ukinawa kabla ya wakubwa, utachapwa.
29. Ukimaliza kula ukanyanyuka kabla ya wakubwa, utachapwa.
30. Umechelewa kurudi dukani, utachapwa.
,,N.K
*Kama umepitia malezi haya na bado ukakosa heshima basi wewe ni KONKODI. Kinga ni bora kuliko tiba.
Jr[emoji769]
Yani mule mulee...tunaishi mbeyaa na hicho ndo kinatokea!! Anakwambia oga mwenyewe vizuri maji ya baridi au nikuogeshe mimi vizuriii[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hiyo vizuri anakusugua balaaaAfu wanakusimamia kuoga maji ya mvua na baridi ya mbeya utafikili wamekupiga nusu kaputi [emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulikuwa billionaire kwa muda siku hiyoNikiwa darasa la pili, niliwahi kuiba senti 50 ya dada, halafu nilivyofika shuleni karibia darasa zima lilikula matunda aina ya SUNGWI, kwa kisukuma yanaitwa hiyo, sijui yanaitwaje kwa Kiswahili. Nakumbuka kama senti 5 ilikuwa unapata sungwi 8, kwa hiyo kwa senti 50 jumla ilikuwa ni sungwi 80, na senti 50 yote iliisha siku hiyo!
Hahaah sureUtumwe Bar kununua pombe ya mzee umkute mwalimu utachezea kesho yake shuleni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja maskani walibandika maharage kwenye kigae wakaacha nje, mie huyo na tairi langu hatuna breki nikapita na sufuria na jiko lake maharage yote yakamwagika, Nilichapwa si utani, Nakumbuka Bibi ndo alikuja kuniokoa toka kwa maza.. Teh tehUmeambiwa uchochee maharage,umecheza yameungua.
Utachapwa mana hakuna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kichapo heavy kwa sababu kuna vingine vilikua vinamuachia majeraha kimtindo...So akiwa akivikuta ni kichapoo[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku moja maskani walibandika maharage kwenye kigae wakaacha nje, mie huyo na tairi langu hatuna breki nikapita na sufuria na jiko lake maharage yote yakamwagika, Nilichapwa si utani, Nakumbuka Bibi ndo alikuja kuniokoa toka kwa maza.. Teh teh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],kweli aiseee,Ukivaa nguo za sikukuu au za kanisani kipindi sio mda wake utachapwa tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app