Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

1.Ukiagizwa dukani na mama ukaonyesha kukasirika utachapwa.
2. Ukikutwa unaangalia miziki ya kizungu wamevaa vibaya utachapwa.
3. Mtoto wa jirani akikupita shuleni utachapwa.
4. Ukivunja sahani au kikombe cha udongo viboko.
5. Ukidondosha chenji utakula mboko.
6. Ukicheza mvua inanyesha utachapwa [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapo no 4. pameniharibu mpk sasa hivi situmii kabisa chombo cha plastic eti nakula kwa sahani ya palastic ama laa maji na kikombe cha plastic staki kabisa bado nakumbikia vyombo vya udongo ni vya wageni now now naweza kukinunua please situmii
 
Ukanya pembeni akashidwa kulenga choo utachapwa
Ukienda kucheza mpira ukaibiwa ndala utachapwa

Ukichelewa kuoga utachapwa tu
Ukivaa mlegezo utachapwa tu
Ukimcheka mlemavu utachapwa
Ukimuita mlemavu wa ngozi albino badala ya mzungu utachapwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukanya pembeni akashidwa kulenga choo utachapwa
Ukienda kucheza mpira ukaibiwa ndala utachapwa

Ukichelewa kuoga utachapwa tu
Ukivaa mlegezo utachapwa tu
Ukimcheka mlemavu utachapwa
Ukimuita mlemavu wa ngozi albino badala ya mzungu utachapwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena
2. Umechapwa hukulia utachapwa tena
3. Ukijililia tu bila kupigwa, utachapwa
4. Kusimama wakati wazee wameketi, utachapwa
5. Ukiketi wakati wazee wamesimama. utachapwa
6. Kujipitishapitisha mahali ambapo wazee wamekaa, utachapwa .
7. Kuwajibujibu watu wazima, utachapwa
8. Usipomjibu mtu mzima, utachapwa
9. Kujifanya sugu wakati wa unachapwa, utaendelea kuchapwa.
10. Ukitoka kuchapwa, ukaimba au kupiga mruzi, utachapwa tena.
11. Usiposalimia wageni, utachapwa
12. Ukila chakula cha wageni, utachapwa.
13. Kuwalilia wageni wanapo ondoka, utachapwa.
14. Ukikataa kula, utachapwa.
15. Kuchelewa kurudi nyumbani baada ya jua kutua, utachapwa
16. Kula nyumba ya jirani, utachapwa.
17. Kujitia kisirani, utachapwa.
18. Kujitia kujuwa juwa sana, utachapwa.
19. Ukipigana na mtoto mwenzio, akakupiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
20. Ukipigana na mtoto mwenzio, ukampiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
21. Ukiwa unakula chakula polepole, utachapwa.
22. Ukiwa unakula haraka haraka, utachapwa.
23. Ukiwa unakula sana, utachapwa.
24. Kuendelea kulala wakati wazee wamesha amka tayari, utachapwa.
25. Ukiwa unawaangalia wageni wakati wanakula, utachapwa.
26. Ukitembea na mtu mzima, ukajikwaa na ukaangua kicheko, utachapwa.
27. Ukila na wakubwa ukachukua nyama bila kupewa, utachapwa.
28. Ukinawa kabla ya wakubwa, utachapwa.
29. Ukimaliza kula ukanyanyuka kabla ya wakubwa, utachapwa.
30. Umechelewa kurudi dukani, utachapwa.
,,N.K
*Kama umepitia malezi haya na bado ukakosa heshima basi wewe ni KONKODI. Kinga ni bora kuliko tiba.

Jr[emoji769]
Nikiwa darasa la pili, niliwahi kuiba senti 50 ya dada, halafu nilivyofika shuleni karibia darasa zima lilikula matunda aina ya SUNGWI, kwa kisukuma yanaitwa hiyo, sijui yanaitwaje kwa Kiswahili. Nakumbuka kama senti 5 ilikuwa unapata sungwi 8, kwa hiyo kwa senti 50 jumla ilikuwa ni sungwi 80, na senti 50 yote iliisha siku hiyo!
 
Afu wanakusimamia kuoga maji ya mvua na baridi ya mbeya utafikili wamekupiga nusu kaputi [emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mule mulee...tunaishi mbeyaa na hicho ndo kinatokea!! Anakwambia oga mwenyewe vizuri maji ya baridi au nikuogeshe mimi vizuriii[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hiyo vizuri anakusugua balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa darasa la pili, niliwahi kuiba senti 50 ya dada, halafu nilivyofika shuleni karibia darasa zima lilikula matunda aina ya SUNGWI, kwa kisukuma yanaitwa hiyo, sijui yanaitwaje kwa Kiswahili. Nakumbuka kama senti 5 ilikuwa unapata sungwi 8, kwa hiyo kwa senti 50 jumla ilikuwa ni sungwi 80, na senti 50 yote iliisha siku hiyo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulikuwa billionaire kwa muda siku hiyo

Jr[emoji769]
 
Umeambiwa uchochee maharage,umecheza yameungua.
Utachapwa mana hakuna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku moja maskani walibandika maharage kwenye kigae wakaacha nje, mie huyo na tairi langu hatuna breki nikapita na sufuria na jiko lake maharage yote yakamwagika, Nilichapwa si utani, Nakumbuka Bibi ndo alikuja kuniokoa toka kwa maza.. Teh teh
 
Siku moja maskani walibandika maharage kwenye kigae wakaacha nje, mie huyo na tairi langu hatuna breki nikapita na sufuria na jiko lake maharage yote yakamwagika, Nilichapwa si utani, Nakumbuka Bibi ndo alikuja kuniokoa toka kwa maza.. Teh teh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Hahaha zamani ilikuwa noma sana ufanye usifanye mboko hazikwepeki. Nimechezea sana Mboko kisa kuogelea ilikuwa tukirudi wasafi tumetoka kuchunga porini basi ni mboko za kufa mtu kisa tumeogelea, tukijichafua pia mzee anatushtukia akikagua migongo anajua tumeogelea tunachezea mboko hatari sana. Shida ni ilikuwa vigumu kuvumilia wenzako wote wanaogelea halafu we uvunge pembeni kuwaangalia aaah ilikuwa tabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom