[emoji23][emoji23][emoji23]ukichungulia wakubwa utachapwa
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30]pole sanaMkuu huu uzi umenikumbusha maisha ya utoto.. Wengine tumelelewa na Wazee wakoloni sana. Siku moja tuko mezani tunakula. Sasa nikanawa kabla ya mgeni, nilisikia kofi limetua usoni sikujua limetoka wapi. Sekunde kadhaa nyota zikanijaa usoni na kupotea. Baada ya clear vision namuona mshua kasimama mbele yangu jicho nyanya...
[emoji28] kweli heshima kama hukuipata, basi hutoipata
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Unachapwa unaambiwa toka kwangu;ukifungua mlango unatoka utakiona cha mtema Kuni.
1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena
2. Umechapwa hukulia utachapwa tena
3. Ukijililia tu bila kupigwa, utachapwa
4. Kusimama wakati wazee wameketi, utachapwa
5. Ukiketi wakati wazee wamesimama. utachapwa
6. Kujipitishapitisha mahali ambapo wazee wamekaa, utachapwa .
7. Kuwajibujibu watu wazima, utachapwa
8. Usipomjibu mtu mzima, utachapwa
9. Kujifanya sugu wakati wa unachapwa, utaendelea kuchapwa.
10. Ukitoka kuchapwa, ukaimba au kupiga mruzi, utachapwa tena.
11. Usiposalimia wageni, utachapwa
12. Ukila chakula cha wageni, utachapwa.
13. Kuwalilia wageni wanapo ondoka, utachapwa.
14. Ukikataa kula, utachapwa.
15. Kuchelewa kurudi nyumbani baada ya jua kutua, utachapwa
16. Kula nyumba ya jirani, utachapwa.
17. Kujitia kisirani, utachapwa.
18. Kujitia kujuwa juwa sana, utachapwa.
19. Ukipigana na mtoto mwenzio, akakupiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
20. Ukipigana na mtoto mwenzio, ukampiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
21. Ukiwa unakula chakula polepole, utachapwa.
22. Ukiwa unakula haraka haraka, utachapwa.
23. Ukiwa unakula sana, utachapwa.
24. Kuendelea kulala wakati wazee wamesha amka tayari, utachapwa.
25. Ukiwa unawaangalia wageni wakati wanakula, utachapwa.
26. Ukitembea na mtu mzima, ukajikwaa na ukaangua kicheko, utachapwa.
27. Ukila na wakubwa ukachukua nyama bila kupewa, utachapwa.
28. Ukinawa kabla ya wakubwa, utachapwa.
29. Ukimaliza kula ukanyanyuka kabla ya wakubwa, utachapwa.
30. Umechelewa kurudi dukani, utachapwa.
,,N.K
*Kama umepitia malezi haya na bado ukakosa heshima basi wewe ni KONKODI. Kinga ni bora kuliko tiba.
Jr[emoji769]
1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena
2. Umechapwa hukulia utachapwa tena
3. Ukijililia tu bila kupigwa, utachapwa
4. Kusimama wakati wazee wameketi, utachapwa
5. Ukiketi wakati wazee wamesimama. utachapwa
6. Kujipitishapitisha mahali ambapo wazee wamekaa, utachapwa .
7. Kuwajibujibu watu wazima, utachapwa
8. Usipomjibu mtu mzima, utachapwa
9. Kujifanya sugu wakati wa unachapwa, utaendelea kuchapwa.
10. Ukitoka kuchapwa, ukaimba au kupiga mruzi, utachapwa tena.
11. Usiposalimia wageni, utachapwa
12. Ukila chakula cha wageni, utachapwa.
13. Kuwalilia wageni wanapo ondoka, utachapwa.
14. Ukikataa kula, utachapwa.
15. Kuchelewa kurudi nyumbani baada ya jua kutua, utachapwa
16. Kula nyumba ya jirani, utachapwa.
17. Kujitia kisirani, utachapwa.
18. Kujitia kujuwa juwa sana, utachapwa.
19. Ukipigana na mtoto mwenzio, akakupiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
20. Ukipigana na mtoto mwenzio, ukampiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
21. Ukiwa unakula chakula polepole, utachapwa.
22. Ukiwa unakula haraka haraka, utachapwa.
23. Ukiwa unakula sana, utachapwa.
24. Kuendelea kulala wakati wazee wamesha amka tayari, utachapwa.
25. Ukiwa unawaangalia wageni wakati wanakula, utachapwa.
26. Ukitembea na mtu mzima, ukajikwaa na ukaangua kicheko, utachapwa.
27. Ukila na wakubwa ukachukua nyama bila kupewa, utachapwa.
28. Ukinawa kabla ya wakubwa, utachapwa.
29. Ukimaliza kula ukanyanyuka kabla ya wakubwa, utachapwa.
30. Umechelewa kurudi dukani, utachapwa.
,,N.K
*Kama umepitia malezi haya na bado ukakosa heshima basi wewe ni KONKODI. Kinga ni bora kuliko tiba.
Jr[emoji769]
ukifanya mchezo mbaya utachapwa1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena
2. Umechapwa hukulia utachapwa tena
3. Ukijililia tu bila kupigwa, utachapwa
4. Kusimama wakati wazee wameketi, utachapwa
5. Ukiketi wakati wazee wamesimama. utachapwa
6. Kujipitishapitisha mahali ambapo wazee wamekaa, utachapwa .
7. Kuwajibujibu watu wazima, utachapwa
8. Usipomjibu mtu mzima, utachapwa
9. Kujifanya sugu wakati wa unachapwa, utaendelea kuchapwa.
10. Ukitoka kuchapwa, ukaimba au kupiga mruzi, utachapwa tena.
11. Usiposalimia wageni, utachapwa
12. Ukila chakula cha wageni, utachapwa.
13. Kuwalilia wageni wanapo ondoka, utachapwa.
14. Ukikataa kula, utachapwa.
15. Kuchelewa kurudi nyumbani baada ya jua kutua, utachapwa
16. Kula nyumba ya jirani, utachapwa.
17. Kujitia kisirani, utachapwa.
18. Kujitia kujuwa juwa sana, utachapwa.
19. Ukipigana na mtoto mwenzio, akakupiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
20. Ukipigana na mtoto mwenzio, ukampiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
21. Ukiwa unakula chakula polepole, utachapwa.
22. Ukiwa unakula haraka haraka, utachapwa.
23. Ukiwa unakula sana, utachapwa.
24. Kuendelea kulala wakati wazee wamesha amka tayari, utachapwa.
25. Ukiwa unawaangalia wageni wakati wanakula, utachapwa.
26. Ukitembea na mtu mzima, ukajikwaa na ukaangua kicheko, utachapwa.
27. Ukila na wakubwa ukachukua nyama bila kupewa, utachapwa.
28. Ukinawa kabla ya wakubwa, utachapwa.
29. Ukimaliza kula ukanyanyuka kabla ya wakubwa, utachapwa.
30. Umechelewa kurudi dukani, utachapwa.
,,N.K
*Kama umepitia malezi haya na bado ukakosa heshima basi wewe ni KONKODI. Kinga ni bora kuliko tiba.
Jr[emoji769]
Pale unapotumwa kuleta kiboko cha kumchapa mwenzio aliekosa ukileta kiboko chini ya kiwango kafimbo kadogo)unachapwa nacho wewe, pia ukileta kikubwa zaidi kama mpini hahahaahaa lazima ushughulikiwe wewe kwanza eti huna huruma na mwenzako.Kuchapwa kisha ukaanza kupiga mluzi au kuimba unaachapwaa.
Unachapwa harafu unyamaze kisha ule,mama yangu sijui ukali katika matukio tajwa hapo uliishia wapi?
Leo hii kuna last born wetu yupo darasa la saba,anadeka mapaka anakera,au kwa sababu ni binti peke yake??
Never say never
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30]Pale unapotumwa kuleta kiboko cha kumchapa mwenzio aliekosa ukileta kiboko chini ya kiwango kafimbo kadogo)unachapwa nacho wewe, pia ukileta kikubwa zaidi kama mpini hahahaahaa lazima ushughulikiwe wewe kwanza eti huna huruma na mwenzako.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30]
Jr[emoji769]
Aiseee!Aisee acha kabisa ndugu yetu yeye tukiwa likizo kwa babu, siku moja asubuhi tunajiandaa kwenda shamba nyuma tu ya nyumba yeye akagoma na kutishia kujinyonga (sijui ugomvi ulianzia wapi na babu)
Babu akasema mwacheni ajinyonge nitazika.... Basi tukaenda shamba... Muda si mrefu tukasikia mtu anapiga kelele, kukimbia kufika home, jamaa ananing'inia ila kaweka mikono kwenye shingo kamba isimbane... Kumbe alitundika kamba kwenye kenchi akapanda juu ya kiti akajitia kitanzi, akakipiga kiti teke kikaanguka... Maumivu yalipozidi akijiokoa kwa kuweka mikono kooni na kupiga kelele
Babu alipokuja tukajua atapaniki na kusema tumshushe
Kwa mshangao wa wengi babu alikuja na mkwaju wa mpera... Jamaa alichezea kichapo mpaka akakojoa ndio tukamshusha... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa hivi ni boss mkubwa mahali... Siwezi hata kumkumbushia
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukivaa nguo mpya ya siku kuu kabla ya hio siku kuu utachapwa. Na pua ukitangaza tangaza utachapwa
Sent using Jamii Forums mobile app