Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

Kukalia kiti anachotumia mzee.. Utachapwa.
Kutumia sahani na vikombe vya dingilai yani hapo ni kama umeisiga na kuikanyaga katiba.. Mahakama ya baba mkazi lazima ikuhusu. Ni viboko mbele ya watoto wengine halafu unakiri kosa, na adhabu ndogo ndogo kufagia banda la kuku wiki nzima...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Ukimwambia mtu kuwa yeye kwamba ni.

Underdog - utachapwa

Ukimdhihaki mtu kuwa ni yeye ni mtu wa,

Hovyohovyo - utachwapwa

Ila Kama ni Swahiba wa Mtukufu huchapwi.
Wala huruhusiwi kumwomba radhi mtu yoyote hata kama umemkosea.
Kwakuwa Unakuwa ni Kipenzi Pekee cha cha Mtukufu.

Chifu wa Kabila Lenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Ukiweka kiwembe kwenye kaptula ya Shule mama wakati anafua akakikuta aisee kichapo chake balaa...[emoji23][emoji23]
Ukila kwa jirani kichapo...
Usiposalimia asubuhi kichapoo...
Ukipigwa ukasusa chakula eti usilee ukaenda kulala aisee mboko zitakufata huko kitandani hutaamini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye viwembe Hapo ndo nilikua mtaalamu haswa wa kuviweka mfukoni, nilikua bingwa wa kuchonga penseli class zima.. Watoto wa kihindi na kiarabu walikua mayai mno kuchonga penseli na viwembe, so mie nkawa fundi wao...
 
Halafu ukifanya kosa mtaani mfano mkikutwa mnapigana,anaweza atokee mzee yeyote ambaye hata hawafahamu akawachapa na ukienda kusema nyumbani utachapwa tena

Sent from my TECNO F1 using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Hapo kwenye viwembe Hapo ndo nilikua mtaalamu haswa wa kuviweka mfukoni, nilikua bingwa wa kuchonga penseli class zima.. Watoto wa kihindi na kiarabu walikua mayai mno kuchonga penseli na viwembe, so mie nkawa fundi wao...
So akiwa akivikuta ni kichapoo[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom