Yaani walala hoi wanalalwa kabisa.Uliwahi kuona mtu analipwa kwa sababu ya kulala Mkuu?
Fanyeni kazi nyie
Kwa kuongezea kwenye hili watoto wa viongozi wapewe ubunge kila mmoja ukiacha kulipwa hiyo mishahara ili nawao wapate sitting allowanceβ¦hii itawajengea uwezo wa kuwa viongozi wetu wa baadae kama wazazi wao wanavyo tuongoza vizuriSasa milioni 3 inamtoshaje mtu jamani!!!
Labda kama watawapa 100k kila siku kwa ajiri ya mafuta na pombe.
Watoto wa viongozi sio watu wa kukaa hivi hivi,mtu kama abdul sio jambo la busara kumpigia simu mama yake anaomba ela ya kununua boxer.View attachment 2819698
πππ walala hoi waache uvivu wafanye kazi lasivyo wataendelea kulalwa hii nchi ni ya viongozi na watoto wao β¦nyie wengine muendelee kuchapa kaziβ¦..Yaani walala hoi wanalalwa kabisa.
Wakienda kuomb kazi wanalalwa
Katika mfumo wa monosex wanaolalwa ni walalahoi.
Walikosea wanalalwa kama adhabu.
Wake zao wakikutaba na boss kama ni warembo wanalalwa.
Wakiomba msaada kwa boss kama ni binti analalwa.
Tuwaelimishe watoto walalahoi kufanya mizunguko wa fedha ili wasikutane na maboss
Nazungumizia yule bibi mshenzi aliekuja na Yale mawazo ya kipumbavu ya kuwapa pesa wake wa wastaafuNyie ndio mnakuwa serious Hadi chooni..relax brother..... Maisha sio ya hekaheka kiasi hicho.....
Haijalishi hata kama kila mmoja atakuwa na watoto gunia nne.Kama hapo awali tuionesha umahiri wa fikra zetu kwa kukubali kwa hiyari bila shuruti kuwalipa wake/wenza wa viongozi,kwa nini tuishie njiani?Hoja ya kipuuzi sana hii.
Viongozi wakuu wana watoto wangapi?.
Hoja ya kipuuzi sana hii.
Viongozi wakuu wana watoto wangapi?.
Mnaleta masikhara kwenye masuala nyeti Kwa taifa kama Haya,ngoja wenzenu wasivyo na Haya wapite na huu upepo Kwa madai ni Mapenzi ya wananchi wanasikiliza maoni yenu ndio MTAJUA HAMJUI chezea CCM nyie!
Unajua hamna kitu inaniuma kama makadirio ya TRA?TOZO, na vikodi vua ajabu ajabu! hawachelewi Hawa kusema ni maoni ya wananchi wapandishe hizo TOZO zao mara dufuAcha woga Mkuu
Unajua hamna kitu inaniuma kama makadirio ya TRA?TOZO, na vikodi vua ajabu ajabu! hawachelewi Hawa kusema ni maoni ya wananchi wapandishe hizo TOZO zao mara dufu
Usicheke!Nina uchungu sana ππππ€£πππ
Leo nimekupata. Bado hujasema Mkuu.
Usicheke!Nina uchungu sana ππππ€£
Acha wivu watoto hawa wanateseka sana kuwakosa wazazi wao nyumbani ni lazima wafutwe machozi kabisaHoja ya kipuuzi sana hii.
Viongozi wakuu wana watoto wangapi?.
Sio utani watoto wanateseka acha wafutwe machozi ikiwezekana wapewe hata ubunge kila mmojaMnaleta masikhara kwenye masuala nyeti Kwa taifa kama Haya,ngoja wenzenu wasivyo na Haya wapite na huu upepo Kwa madai ni Mapenzi ya wananchi wanasikiliza maoni yenu ndio MTAJUA HAMJUI chezea CCM nyie!