Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Hao wasilipwe Kwa sababu wanatumia viungo vya miili yao vibaya. Haiwezekani viungo vya Uzazi wanavitumia Kibazazi. Nasemaje michepuko isilipweee[emoji3]
Kazi ya mchepuko ni kubwa sana. Imewafariji kipindi wakiwa na stress, wafikiriwe kwa kweli
 
Kazi ya mchepuko ni kubwa sana. Imewafariji kipindi wakiwa na stress, wafikiriwe kwa kweli
Demi,viungo vya Uzazi viheshimiwe tafadhali. Kazi yake ni kuzaa Tu. Watafute faraja nyingine,mbona zipo faraja nyingi tu[emoji3]
 
Duh 😳 !! Ubaya wa pesa hata ukipata ngapi na tayari unazo ngapi bado utaona hazitoshi tu !
Wenye ambao pesa akipata zinatosha ni wale wenye mioyo safi waliopata rehema za Mungu !! Ambao ndio pia huwa wanakuwa na peace of mind !! 🙏🙏
 

Wanastahili kulipwa Mkuu.
 
Demi,viungo vya Uzazi viheshimiwe tafadhali. Kazi yake ni kuzaa Tu. Watafute faraja nyingine,mbona zipo faraja nyingi tu[emoji3]
Hawajajipeleka kwa lazima. Wameombwa wafanye hivyo na wameridhia. Kiungo cha uzazi ni mali binafsi sio ya serikali
 
Ni wivu wa kike kweli. Hata mimi sitegemei wala kuona vibaya wajukuu wa Nyerere kulipwa. Ni wajukuu wa Baba wa taifa. Watu waache Wivu.
Wakati Watu wanapigania Uhuru wazazi wao walikuwa wapi?
Mimi Wazazi wangu walikuwa hawajazaliwa mkuu. Wasamehewe bure[emoji1787]
 
Mkuu ee,mmama wa watu amekukosea nini hadi unambandika majina magumu hivyo?
Ndiye aliyeleta hoja bungeni ya kuwa wenza wa viongozi wakuu nao walipwe pension. Mabilioni yote waliyochuma na mafao manono aliyolipwa mumewe na pension nono, na yeye mshahara na posho za ubunge anazopokea yeye bado hatosheki tu bila kusahau Mabilioni aloyovuna kwenye taasisi yake ya WAMA huu kama siyo ushetani ni nini?
 
Mkuu wewe ndiye unayeona zinawatosha. Ukute wenzako wapo moto wanataka angalau wawe kama Elon Musk[emoji3]
 
Mkuu wewe wakati unapiga swaga kwa dem hujawahi mwambia akikukubalia tu unamuonga dunia yote hii na watu wengine watafute pakwenda? Jk probably alimuahidi kuwa atamuonga tz nzima so nyie tafuteni pakwenda 🤣
 
Hizo kazi huwa wanalazimishwa au wanazitafuta wao Kama sisi tunavyozitafuta za kumwaga zege?. Sawa mke wa Naibu waziri tumekusikia na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…