Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

WATOTO WA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WALIPWE ILI KUWATIA MOYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimefurahi muswada wa kuwalipa wenza wa viongozi wa nchi. Ni uzalendo wa hali ya juu sana. Hii itachochea maendeleo makubwa ya nchi.

Lakini ninaishauri pia serikali, isiishie tuu hapo iende mbali zaidi kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwa kuwalipa na watoto wa viongozi wa taifa letu tukufu.

Watoto wa Marais Walipwe.
Watoto wa Makamu wa rais Walipwe.
Watoto wa Spika wa bunge walipwe
Watoto wa Waziri Mkuu walipwe!
Watoto wa Jaji Mkuu walipwe.
Watoto wa Ma-IGP walipwe.
Watoto wa Wakurugenzi wakuu wa TISS walipwe.

Wapewe Mishahara hata milioni moja au mbili au tatu hivi kwa mwezi. Hayo ndio maendeleo. Wazazi wao wanatumikia nchi hilo nani atabisha?

Wazazi wao wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kuhangaikia nchi, nani anabisha? Wazazi wao wanatukanwa na wananchi wakati mwingine bila kosa nani anabisha?

Walipwe! Walipwe! Tuwalipe! Kodi ni zetu na wao ni viongozi wetu. Tunafurahi wakilipwa. Sisi tutawatumikia kama wao wanavyotutumikia ili kuiendeleza nchi.

Watoto wa viongozi jiandaeni. Tutawalipa kila mwezi. Ni bora tuwalipe tuu kuliko mjilipe wenyewe kwa kificho. Hata tusipowalipa tunajua mtajilipa kivyovyote tuu.

Muswada upelekwe bungeni, kisha upitishwe. Watoto nao walipwe.
Ambao hawataki wahame nchi.

Tusiishie kuwalipa Wenza wao(waume na wake zao) twendeni mbele zaidi. Tuwe na jicho la mbali kama tai.

Mimi nimemaliza, hayo ni mawazo yangu. Kama hutaki hayo ni mawazo yako na kwangu sio shida.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Walipwe tu hata 10mil kwa wiki, wacha Walipwe wafurahie matunda ya kazi za wazazi wao..... WALIPWEEEEEE
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Walipwe Kwa kweli kama mamaza zao au madingi wenza.
Hii nchi ishakuwa ya kishenzi sana
 
Hawa vio.ngozi wa ccm ni wabinafsi sana. Yani mke hafanyi kazi alipwe? Ingekuwa nchi za wenzetu wanaojielewa kingenuka cc tunamsikilizq zuchu. Na kubeti

Mishahara ya viongozi ni midogo. Tunawalipa milioni labda 10 kwa mwezi. Tunawawekea mafuta katika magari yao, na nyumba,na Ulinzi, hiyo haiwatoshi na wenza au Watoto wao.
Hilo la ubinafsi ni lako Mkuu.

Gombea tukuchague ili nawe tukulipe.
 
WATOTO WA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WALIPWE ILI KUWATIA MOYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimefurahi muswada wa kuwalipa wenza wa viongozi wa nchi. Ni uzalendo wa hali ya juu sana. Hii itachochea maendeleo makubwa ya nchi.

Lakini ninaishauri pia serikali, isiishie tuu hapo iende mbali zaidi kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwa kuwalipa na watoto wa viongozi wa taifa letu tukufu.

Watoto wa Marais Walipwe.
Watoto wa Makamu wa rais Walipwe.
Watoto wa Spika wa bunge walipwe
Watoto wa Waziri Mkuu walipwe!
Watoto wa Jaji Mkuu walipwe.
Watoto wa Ma-IGP walipwe.
Watoto wa Wakurugenzi wakuu wa TISS walipwe.

Wapewe Mishahara hata milioni moja au mbili au tatu hivi kwa mwezi. Hayo ndio maendeleo. Wazazi wao wanatumikia nchi hilo nani atabisha?

Wazazi wao wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kuhangaikia nchi, nani anabisha? Wazazi wao wanatukanwa na wananchi wakati mwingine bila kosa nani anabisha?

Walipwe! Walipwe! Tuwalipe! Kodi ni zetu na wao ni viongozi wetu. Tunafurahi wakilipwa. Sisi tutawatumikia kama wao wanavyotutumikia ili kuiendeleza nchi.

Watoto wa viongozi jiandaeni. Tutawalipa kila mwezi. Ni bora tuwalipe tuu kuliko mjilipe wenyewe kwa kificho. Hata tusipowalipa tunajua mtajilipa kivyovyote tuu.

Muswada upelekwe bungeni, kisha upitishwe. Watoto nao walipwe.
Ambao hawataki wahame nchi.

Tusiishie kuwalipa Wenza wao(waume na wake zao) twendeni mbele zaidi. Tuwe na jicho la mbali kama tai.

Mimi nimemaliza, hayo ni mawazo yangu. Kama hutaki hayo ni mawazo yako na kwangu sio shida.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Imepita bila kupingwa
 
WATOTO WA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WALIPWE ILI KUWATIA MOYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimefurahi muswada wa kuwalipa wenza wa viongozi wa nchi. Ni uzalendo wa hali ya juu sana. Hii itachochea maendeleo makubwa ya nchi.

Lakini ninaishauri pia serikali, isiishie tuu hapo iende mbali zaidi kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwa kuwalipa na watoto wa viongozi wa taifa letu tukufu.

Watoto wa Marais Walipwe.
Watoto wa Makamu wa rais Walipwe.
Watoto wa Spika wa bunge walipwe
Watoto wa Waziri Mkuu walipwe!
Watoto wa Jaji Mkuu walipwe.
Watoto wa Ma-IGP walipwe.
Watoto wa Wakurugenzi wakuu wa TISS walipwe.

Wapewe Mishahara hata milioni moja au mbili au tatu hivi kwa mwezi. Hayo ndio maendeleo. Wazazi wao wanatumikia nchi hilo nani atabisha?

Wazazi wao wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kuhangaikia nchi, nani anabisha? Wazazi wao wanatukanwa na wananchi wakati mwingine bila kosa nani anabisha?

Walipwe! Walipwe! Tuwalipe! Kodi ni zetu na wao ni viongozi wetu. Tunafurahi wakilipwa. Sisi tutawatumikia kama wao wanavyotutumikia ili kuiendeleza nchi.

Watoto wa viongozi jiandaeni. Tutawalipa kila mwezi. Ni bora tuwalipe tuu kuliko mjilipe wenyewe kwa kificho. Hata tusipowalipa tunajua mtajilipa kivyovyote tuu.

Muswada upelekwe bungeni, kisha upitishwe. Watoto nao walipwe.
Ambao hawataki wahame nchi.

Tusiishie kuwalipa Wenza wao(waume na wake zao) twendeni mbele zaidi. Tuwe na jicho la mbali kama tai.

Mimi nimemaliza, hayo ni mawazo yangu. Kama hutaki hayo ni mawazo yako na kwangu sio shida.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
Kati ya muswada was hovyo kupitishwa na Bunge hili!

Mi nadhani wake wa viongozi kumiliki cheti Cha ndoa TU Kuna tosha kuwa mshahara kwao,kuwa na watoto waliosomeshwa kunatisha kwao kumaliza maisha kwa furaha hapa duniani!!

Kuna Sheria za kijinga sana chama changu CCM kinapitisha ambazo zitahitajie kubadilishwa nishikapo hatamu ,mojawapo ni hiyo!!
 
Kuna watu Wana mawazo ya kipumbavu kweli hawakupaswa kufika hata mwaka 2000 wakiwa hai 😡😡
Nyie ndio mnakuwa serious Hadi chooni..relax brother..... Maisha sio ya hekaheka kiasi hicho.....
 
Vipi classmates wa watoto wa viongozi nao walipwe? Kama Yes nami nipo
 
Kama haya ndo mawazo ya mtu mzima na pengine anaiongoza familia na huku akijua kuwa taifa limekosa hata umeme wa uhakika,maji Safi na salama,dawa,ajira,mfumko wa bei n.k halafu anaomba watoto wa viongozi walipwe ni upumbavu wa kiwango.Hao viongozi wao Wanawajibu gani kwa familia zao? mleta Uzi nakuona kama umetindikiwa afya ya akili vile.
Ila walioomba wenza wao walipwe unaona Wana akili..... Ungemsoma bilaa kuwa na upande wako ungemuelewa....tatizo una Majibu yako kabla hata ya kumsoma alichoandika.....
 
Tunatakiwa wanaume milioni Moja wa ziada Ili kila mwanamke apate mume ...tunawatoa wapi Sasa zaidi ya kuazimishana vichongeo na penseli Kwa muda mywangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] .....
Sio Kila kitu ni cha Kila mtu[emoji1787]
 
WATOTO WA VIONGOZI WAKUU WA NCHI WALIPWE ILI KUWATIA MOYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimefurahi muswada wa kuwalipa wenza wa viongozi wa nchi. Ni uzalendo wa hali ya juu sana. Hii itachochea maendeleo makubwa ya nchi.

Lakini ninaishauri pia serikali, isiishie tuu hapo iende mbali zaidi kuchochea maendeleo ya nchi yetu kwa kuwalipa na watoto wa viongozi wa taifa letu tukufu.

Watoto wa Marais Walipwe.
Watoto wa Makamu wa rais Walipwe.
Watoto wa Spika wa bunge walipwe
Watoto wa Waziri Mkuu walipwe!
Watoto wa Jaji Mkuu walipwe.
Watoto wa Ma-IGP walipwe.
Watoto wa Wakurugenzi wakuu wa TISS walipwe.

Wapewe Mishahara hata milioni moja au mbili au tatu hivi kwa mwezi. Hayo ndio maendeleo. Wazazi wao wanatumikia nchi hilo nani atabisha?

Wazazi wao wanatumia muda mwingi nje ya familia zao na kuhangaikia nchi, nani anabisha? Wazazi wao wanatukanwa na wananchi wakati mwingine bila kosa nani anabisha?

Walipwe! Walipwe! Tuwalipe! Kodi ni zetu na wao ni viongozi wetu. Tunafurahi wakilipwa. Sisi tutawatumikia kama wao wanavyotutumikia ili kuiendeleza nchi.

Watoto wa viongozi jiandaeni. Tutawalipa kila mwezi. Ni bora tuwalipe tuu kuliko mjilipe wenyewe kwa kificho. Hata tusipowalipa tunajua mtajilipa kivyovyote tuu.

Muswada upelekwe bungeni, kisha upitishwe. Watoto nao walipwe.
Ambao hawataki wahame nchi.

Tusiishie kuwalipa Wenza wao(waume na wake zao) twendeni mbele zaidi. Tuwe na jicho la mbali kama tai.

Mimi nimemaliza, hayo ni mawazo yangu. Kama hutaki hayo ni mawazo yako na kwangu sio shida.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Dar es salaam

Naunga mkono hoja. Tuanze na Riz moko na Abduli kama shamba darasa Ili kupata uzoefu.

CCM hoyeee ..!
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Umesahau kuweka namba za simu,lakini hujachelewa unaweza ukaedit.
Hata hivyo na wewe unastahili kulipwa kwa kulingamua hilo,ni wachache wenye uwezo wa kuwa na busara kama zenye tija kwa taifa la wadanganyika.
 
Tena kama tukitaka equality hii kitu iende hadi kwa watoto wa makalani wa mahakama nao pia walipwe tu make wazazi wao kiukweli wanakula msoto sana kutunza yale mafaili ya kesi za watu na ukizingatia kesi zingine huchukua hadi miaka kumi kupata maamuzi.

Hivyo nashauri nao pia walipwe tu ili tupunguze adha ya kesi za kubambikiana na kusubirishwa kisa kalani kadakishwa chochote kitu ili wanae waione njia ya chooni.
 
Back
Top Bottom