Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kuna mdau kanambia ni msemaji wa Simba Queens sikumzingatia nikajua anafanya masiharaMkuu ni huyo kushotoView attachment 2532174
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mdau kanambia ni msemaji wa Simba Queens sikumzingatia nikajua anafanya masiharaMkuu ni huyo kushotoView attachment 2532174
Huo mwaka nilikuwa bado sijazaliwaWakati anavuma mwaka 1999 hadi 2000 kwenye bahati nasibu ya Jackpot Bingo ITV wewe labda ndo ulikuwa kijijini kwenu unadanganywa na mama kwamba mtoto ananunuliwa hospitalini.
Ila mona simsemi ila yule dada mmhhh!!!
AhahahahNi fundi ujenzi huku Ushirombo
Mi TV wana TBC, ITV, EATV, Clouds, mengine hadi niwepo jioni... one of the worst tv stations kusikilizwa na familia. Worse enough ndio madaa wa kazi wanapobaki majukmbani mchana wazazi hawapo wanaipenda balaa!
Hivi huyu mtoto Mona alizaa na nani?Daaah this s very Sad! inasikitisha,huyu mtoto Ni mdogo Sana sidhani hata Kama 16 kafika, nilikutana nae kwenye Panton na kundi la watoto wenzie ma half cast wa kiarabu wamevaa uniform I think za Shaban Robert,nadhani jamii inayomzunguka imechangia haya
Mbaba gani sijui mwenyewe monalisa alisema Ni muhabesh!Ni Kama wapemba weusi waleHivi huyu mtoto Mona alizaa na nani?
Ni mdau kwenye soka la Tanzania?Said kijana wa Zenji
Duh simjuagi kabisa yani..namjua Sonia na yule dogo mwingineSaid kijana wa Zenji
Aisee..Mungu asaidieMbaba gani sijui mwenyewe monalisa alisema Ni muhabesh!Ni Kama wapemba weusi wale
Huwa anaishi ubabani,namshangaa humu wanalaumu single mamaDuh simjuagi kabisa yani..namjua Sonia na yule dogo mwingine
Wapo kina FID-Q na wengineo baadhi... wanajitambua sana! Hawana huo ujinga ujingaUSANII NI UHAYAWANI!HAKUNA MSANII MWENYE MAADILI DUNIANI WOTE NI WAHUNI, WALEVI MALAYA, KUKOSA MAADILI IN ALL FILEDS OF UTU, MILA NA DESTURI ZETU
Baadhi ya wasanii nao wamegeuzwa mashoga. Nasikia kuna wafadhili toka nchi za magharibi wanalipa pesa ndefu watu hasa wasanii, kuendeleza ushoga Tanzania. Ukiona mtu kavaa T-shirt imeandikwa GAP huyo mchunguze vizuri, ila wengine wanakuta kwenye mitumba wananunua bila kujua GAP maana yake ni Gay And Proud, kama umemnunulia mwanao kwenye mitumba, itupe haraka au choma moto.Wazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu.. Kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume .. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa.. Kizazi kijacho kiko mashakani
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu
Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi.. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!
Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.
Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho
Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.
Hakuna wa kukemea.. Zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao nknk
Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi.. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu... Hali ni mbaya sana.
Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!
Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon.. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.
Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?
Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao .. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni
Inauma sana!