Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Wakati anavuma mwaka 1999 hadi 2000 kwenye bahati nasibu ya Jackpot Bingo ITV wewe labda ndo ulikuwa kijijini kwenu unadanganywa na mama kwamba mtoto ananunuliwa hospitalini.
Huo mwaka nilikuwa bado sijazaliwa
 
Kuna mtangazaji mmoja wa radio moja kafungua pub yake mitaa ya kino
Panajaa wasng hapo balaaa

Ova
Unakumbuka Mtaa wa Wibu? Aunt Bilal alikuwa na pub pale ilikuwa inajaza balaa
 
Hivi huyu mtoto Mona alizaa na nani?
 
USANII NI UHAYAWANI!HAKUNA MSANII MWENYE MAADILI DUNIANI WOTE NI WAHUNI, WALEVI MALAYA, KUKOSA MAADILI IN ALL FILEDS OF UTU, MILA NA DESTURI ZETU
Wapo kina FID-Q na wengineo baadhi... wanajitambua sana! Hawana huo ujinga ujinga
 
yani inamana kuna wanaume wenzangu wanasimamisha kabisa dushe huyo dogo akivua nguo mbele yao? Daaah!! Najiuliza tu dogo alianzaje haya mambo? At first alilazimishwa na sasa kazoea tyr au? Au hormonal factors? Au vp?

NB; Angekua ni mdogo wangu huyo dogo, leo leo ningepelekwa mahakamani na kufungwa jela leo leo.
 
Mashoga na wasagaji wengi wameoa na kuolewa ,hilo suala la ndoa halina uhusiano na ushoga au usagaji
 
Baadhi ya wasanii nao wamegeuzwa mashoga. Nasikia kuna wafadhili toka nchi za magharibi wanalipa pesa ndefu watu hasa wasanii, kuendeleza ushoga Tanzania. Ukiona mtu kavaa T-shirt imeandikwa GAP huyo mchunguze vizuri, ila wengine wanakuta kwenye mitumba wananunua bila kujua GAP maana yake ni Gay And Proud, kama umemnunulia mwanao kwenye mitumba, itupe haraka au choma moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…