Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Kama mashoga wa humu tu Jf mmeshindwa kuwakemea kuacha vitendo hivyo zaidi ya kuwakumbatia na kutwa mnaitana binamu vipi hao msiowajua mtaweza kuwashauri kuachana na izo tabia potofu. Acheni unafiki
Replies zetu kwa namna moja ama nyingine zinaweza kututambulisha uhalisia wetu juu ya kile kinachojadiliwa
 
Naona kafuta
Screenshot_20230227-200900.jpg


Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20230227-200900.jpg
    Screenshot_20230227-200900.jpg
    35.8 KB · Views: 21
Matokeo ya malezi ya single parent[emoji848][emoji2827]

Ameshafuta hilo neno baya ,wakati nilipoenda kuconfirm niliona lipo baada ya dakika mbili akaedit na kuliondoa.

Nimeona watu wanamlaumu Mona inakuwaje mwanae ajitakanze shoga halafu yeye amekaa kimya tu?

Mshana Jr umesaidia maana amelifuta ila hata kama ni shoga ilitakiwa asijitangaze aisee.....Ila nimeona anakaa Zanzibar ,na huko Zanzibar wamejaa kina faki daddy faki na Kiringo wa kutosha.
 
Naona kafutaView attachment 2531971

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Kutoka alipojitangaza mpaka alipofuta,
followers wameshift kutoka 22.9k mpaka 23.2 hawa ni watu zaidi ya mia 3 ndani ya kipindi cha dakika chache sana.
Hili ni kundi kubwa mno linaloshabikia haya mambo

Meanwhile I have to raise Davin in this mess.

Kuna wakati unaweza ukatamani usipate watoto.
 
Ila nimeona anakaa Zanzibar ,na huko Zanzibar wamejaa kina faki daddy faki na Kiringo wa kutosha.[emoji2827]

Hatari Sana Mshana Jr.




 
Kutoka alipojitangaza mpaka alipofuta
followers wameshift 22.9k mpaka 23.2
Hili ni kundi kubwa sana linaloshabikia haya mambo

Meanwhile, I have to raise Davin in this same doomed world.
Means baada ya kujitangaza hivyo kaongeza followers faster
Msiba huu

Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom