Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Wamama wanachangia sana watoto wa kiume kuwa mashoga ,just imagine zari anafurahia kabisa wanae wa kiume kuvaa hereni zake.

Mtoto wa kiume inatakiwa alelewe kimafia ,ukimlea kimayai mayai ni majanga sana.
Hahaaa, kimafia kwa kizazi hiki utaonekana u mbaya. Mi Nina kijana wa std vii namkazia kweli kweli yaani namuandaa awe mgumu na mafia na sio lelemama
 
Mdau kanijibu hapo juu kuwa ni fundi ujenzi wa Ushirombo

Msture na mwana mwambie jibu lishatolewa, kumbe ni fundi.
Screenshot_20230227-202848.jpg

hyperkid
 
Back
Top Bottom