Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda google mkuu download apk ya new pipe utazifaidi oldies kama zotemkuu kama una album nzima ya hii kwaya nirushie hata pm. Nmeitafuta kwa muda mrefu
Hapo bado hatujaku-stress ukaamua kuwa Padre 😰😰Halafu huyo mwenzagu bado hana nguvu za kiume. Nabakia mwenyewe duniani
Mungu aumbe wanaume wengine tu😂
Tuwalinde vijana wetu with all mighty means hasa vijana wa kiume maana ndio shinaDaah Mkuu ni hatari sana, we need to put limits who our daughters and sons should associate with, including social media who to follow and subscribe to
We umeambiwa ni msanii wa bongo movie, unasema habari ya nyimbo....bongo movie na nyimbo wap na wap?nafikiri lakini, any way pengine si aina ya nyimbo zangu
Hakika kabisa Mkuu, Avache 🙏🙏🙏💯💯💯Tuwalinde vijana wetu with all mighty means hasa vijana wa kiume maana ndio shina
Ety siku mmeuza kile kiwanja chenu na mkeo hukuonekana nyumbani hadi pesa zilivokwisha?😜.....Natunza kwa uaminifu kabisa Pesa, Pombe, Mke
Mkuu wewe humu, kuna mtu unaemjua kwa kumuona na ni shoga, huu ni mtandao tu, unatuungamisha katika kubadilishana mawazo na kupeana taarifa mbalimbali, Cha msingi sisi ni Watanzania, hatuiishi tu kuwa wanajamii forums tu.Kama mashoga wa humu tu Jf mmeshindwa kuwakemea kuacha vitendo hivyo zaidi ya kuwakumbatia na kutwa mnaitana binamu vipi hao msiowajua mtaweza kuwashauri kuachana na izo tabia potofu. Acheni unafiki
macho na uzee kazi kwelikweliWe umeambiwa ni msanii wa bongo movie, unasema habari ya nyimbo....bongo movie na nyimbo wap na wap?
Umasikini ni shidaTutaliepukaje hili dubwana?View attachment 2531950
Ukiangalia kwa umakini,unagundua followers wamazidi kushuka kwa Kasi Sana. Watu wanamu unfollow.OG ilishadakwaView attachment 2531975
Hakuna kundi la hovyo kama Bongo Flavour, Bongo Movie...Ni huo ujinga wanaoimba ndio unapokewa na jamii yenye vijana wetu
JF inasomwa na wengi. King Kong III kaliongelea pia hili.. Hii inaitwa positive impact ya JF[emoji1752][emoji1545]Ukiangalia kwa umakini,unagundua followers wamazidi kushuka kwa Kasi Sana. Watu wanamu unfollow.
Ila inanishangaza kidogo; why afute Sasa hivi wakati aliweka Hilo neno muda tu..mfano Mimi nimeona hiyo bio ya kujiyangaza shoga siku Kama nne zilizopita. Why afute baada ya huu uzi wako mkuu?
Sasa pale ushaona mtoto? Watoto wanaotangazwa tangazwa mitandaoni huwa wanakuja kuwa wabovu sanaWamama wanachangia sana watoto wa kiume kuwa mashoga ,just imagine zari anafurahia kabisa wanae wa kiume kuvaa hereni zake.
Mtoto wa kiume inatakiwa alelewe kimafia ,ukimlea kimayai mayai ni majanga sana.
Bongo movie sio bongo flava mkuuaah sijapata kusikia nyimbo vyake nafikiri ni chipukizi, dunia iko kasi sana
Asaidie nini?Mungu saidia
aaah mambo ya filamuBongo movie sio bongo flava mkuu