Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Kama mashoga wa humu tu Jf mmeshindwa kuwakemea kuacha vitendo hivyo zaidi ya kuwakumbatia na kutwa mnaitana binamu vipi hao msiowajua mtaweza kuwashauri kuachana na izo tabia potofu. Acheni unafiki
Mkuu wewe humu, kuna mtu unaemjua kwa kumuona na ni shoga, huu ni mtandao tu, unatuungamisha katika kubadilishana mawazo na kupeana taarifa mbalimbali, Cha msingi sisi ni Watanzania, hatuiishi tu kuwa wanajamii forums tu.

Hivyo alietajwa kuwa amejitangaza ni mtanzania mwenzetu pia, lazima tulikemee maana huyu amevuka mipaka, ambayo Watanzania, hatukuwahi kushuhudia shoga likijitangaza, kwa namna hiii.

Ila mkuu ni kweli huoni nyuzi mbalimbali juu ya ushoga, na wakilaani tabia hiyo.
 
Ukiangalia kwa umakini,unagundua followers wamazidi kushuka kwa Kasi Sana. Watu wanamu unfollow.

Ila inanishangaza kidogo; why afute Sasa hivi wakati aliweka Hilo neno muda tu..mfano Mimi nimeona hiyo bio ya kujiyangaza shoga siku Kama nne zilizopita. Why afute baada ya huu uzi wako mkuu?
 
Ukiangalia kwa umakini,unagundua followers wamazidi kushuka kwa Kasi Sana. Watu wanamu unfollow.

Ila inanishangaza kidogo; why afute Sasa hivi wakati aliweka Hilo neno muda tu..mfano Mimi nimeona hiyo bio ya kujiyangaza shoga siku Kama nne zilizopita. Why afute baada ya huu uzi wako mkuu?
JF inasomwa na wengi. King Kong III kaliongelea pia hili.. Hii inaitwa positive impact ya JF[emoji1752][emoji1545]
 
Wamama wanachangia sana watoto wa kiume kuwa mashoga ,just imagine zari anafurahia kabisa wanae wa kiume kuvaa hereni zake.

Mtoto wa kiume inatakiwa alelewe kimafia ,ukimlea kimayai mayai ni majanga sana.
Sasa pale ushaona mtoto? Watoto wanaotangazwa tangazwa mitandaoni huwa wanakuja kuwa wabovu sana
 
Back
Top Bottom