Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimya kimya hawatajua, atayewatetea abanwe kiaina kupitia shaming na sanctions.Kuna haki za binadamu toka kwa mabwana wakubwa, tunaweza kunyimwa misaada [emoji35]
Na serikali inaona sawa tuKwani basata kazi imewashinda? Nipo kwenye basi naskia wimbo wa singeli mtu anaimba et naheshimu madanga ya mke wangu!
Hivi wanetu watajifunza nini kwenye wimbo kama huu?
Hawa vijana wa KATAA NDOA nao wanaongezeka kwa kasi mno hadi unajiuliza nini kipo nyuma yao? Ni wadada tu sio waaminifu au ni kampeni maalumu ya Agenda ya siri 😡😡Painful[emoji24]
Wala halikuwa Lengo langu kukosoa hoja ya mleta hoja, ni kweli jamii yetu ipo kwenye tatizo kubwa kuhusu hatma ya watoto wetu dhidi ya hili wimbi kubwa la vitendo vya ushoga vinavyozidi kuongezekaMkuu wewe humu, kuna mtu unaemjua kwa kumuona na ni shoga, huu ni mtandao tu, unatuungamisha katika kubadilishana mawazo na kupeana taarifa mbalimbali, Cha msingi sisi ni Watanzania, hatuiishi tu kuwa wanajamii forums tu.
Hivyo alietajwa kuwa amejitangaza ni mtanzania mwenzetu pia, lazima tulikemee maana huyu amevuka mipaka, ambayo Watanzania, hatukuwahi kushuhudia shoga likijitangaza, kwa namna hiii.
Ila mkuu ni kweli huoni nyuzi mbalimbali juu ya ushoga, na wakilaani tabia hiyo.
Makumbusho hapo,sinza,tbt wsng kibaoo wamejaaTuwalinde vijana wetu with all mighty means hasa vijana wa kiume maana ndio shina
Wa#sng tupu wamejaa hukoHakuna kundi la hovyo kama Bongo Flavour, Bongo Movie...
Mwanaume kuvaa hereni, kuvaa vikuku, kulewa hovyo wanaona sifa
Matokeo ya malezi ya single parent[emoji848][emoji2827]
Tulitakiwa kuonesha mfano kwa kususia kazi zao na shaming them.Wa#sng tupu wamejaa huko
Ova
Na matamasha yao wakifanya viongozi wakubwa wanakwendaNa serikali imekaa kimya sana, hatusikii purukushani
Yule ni shoga tayari.Mkuu, kuna yule msanii wa bongo movie ambaye connection yake ilisambaa alizaa na mnyarwanda ashauriwe malezi ya yule mwanawe aangaliwe
Mi inanikeraga basi tu.Na matamasha yao wakifanya viongozi wakubwa wanakwenda
Ova
Kampeni ya kataa Ndoa ni ya Mashoga mkuu sababu si eti Mwanamke kubadilika kwani hakuna kipya chini ya jua.Hawa vijana wa KATAA NDOA nao wanaongezeka kwa kasi mno hadi unajiuliza nini kipo nyuma yao? Ni wadada tu sio waaminifu au ni kampeni maalumu ya Agenda ya siri 😡😡
Ungetupia na hako kaphoto kaongeze ladha ya uzi