Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Kutoka alipojitangaza mpaka alipofuta,
followers wameshift kutoka 22.9k mpaka 23.2 hawa ni watu zaidi ya mia 3 ndani ya kipindi cha dakika chache sana...
Haswaa wa kiume ,binafsi am afraid of having a son

I swear Na nikipata daah sijuii itakuaje yaani naogopa Sana nadhani atanifanya nilie na Mungu mda mwingi Kwa Kweli naogopa Sana mwenzenu kama Hawa wa kike Niko over protective.

Juzi kananiambia kwenda skauti kabinti kangu ka std 5 nikikaambia mama nakupenda Sanaa ila usalama wako unakoenda ni mdogo mnoo watu sio wazuri hvyooo unadvodhani my dear.

Kuna kubakwa,kunyanyasana na kutishiwa maisha ,alinielewa akanambia Sawa mqma baasi siendi
But i swear am scared mnoo Mungu atulinde

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hao wacha wawe tu, maana hakuna msanii mwenye fundisho kwa jamii.
Wengi wanaimba ujinga
konde boy nyimbo zake zinapotosha jamii n matusi na bangi. baby hapo kati ata jambaz sugu linapgaga salute hata bubu anatoaga sauti.

Huwa najiulizaga hapo kati ni wapi? kuna ile amelowa huwa najiuliza amelowa wapi? Nyingine tena nikupe muhogo wa jang'ombe ukaukunie nyumbani yaani nyimbo zake ni matusi halafu yeye anajiona bonge la msanii na kikohoz chake cha mibangi. Ajabu nyimbo za kuelimisha jamii hawazipendi ila ukiimba matusi ndio zinakubalika kizazi hiki cha nyoka kina laana
 
Haswaa wa kiume ,binafsi am afraid of having a son
I swear Na nikipata daah sijuii itakuaje yaani naogopa Sana nadhani atanifanya nilie na Mungu mda mwingi Kwa Kweli naogopa Sana mwenzenu kama Hawa wa kike Niko over protective
Juzi kananiambia kwenda skauti kabinti kangu ka std 5 nikikaambia mama nakupenda Sanaa ila usalama wako unakoenda ni mdogo mnoo watu sio wazuri hvyooo unadvodhani my dear
Kuna kubakwa,kunyanyasana na kutishiwa maisha ,alinielewa akanambia Sawa mqma baasi siendi
But i swear am scared mnoo Mungu atulinde

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ninae bint pia, huyo nae ndo nakosa amani kabisaa.. Bado ni kadogo ila the way naiona dunia, the future is not promising kabisa.

Angekua wangu kwakweli sijui ningetumia busara gani, ila hiyo kambi ya skauti hapana kwakweli.
 
Wasanii wengine wagutuke na wamakinike
Mkuu Mshana, hiyo ni biashara, wako wanapromote biashara yao ya kuuza kisamvu, wewe unafikiri wanajitangaza tu hivyo bure bure, for what?

Kuna maclient wakubwa maarufu, powerful na wenye pesa ambao ndio wanaonunua hao vijana na kulala nao kinyume na maumbile kwa dau nene, haimake sense kwamba mtu akitangaza shoga na akijua reputation yake itachafuka, so ni demand na supply.

Ni kama kupambana na kuzuia biashara ya ngada, war on drugs doomed to failure.

Huko nchi za wenzetu kuna homsexual rituals, kulala na mtu kinyume na maumbile inatumika pia katika ibada za kishetani, na ni watu maarufu, matajiri na influencial wanafanya hizo sexual rituals, wasanii kama Michael Jackson, R Kelly na wengine wengi wafiraji, mpaka makasisi wa makanisa nk wanafanya hizo mambo kitambo mpaka leo
 
Tuna uhakika na hiki tunachojadili tusije chuma dhambi bure
 
Wamama wanachangia sana watoto wa kiume kuwa mashoga ,just imagine zari anafurahia kabisa wanae wa kiume kuvaa hereni zake.

Mtoto wa kiume inatakiwa alelewe kimafia ,ukimlea kimayai mayai ni majanga sana.
Nawajua watu waliolelewa kimafia wakulima wa shamba kula yenyewe ya shida lakini ni homosexual

Haya mambo ni hatari mkuu ni kuomba yasiikute Familia yako
 
Halafu hizi tabia za sodomy au tamaa ya kujamiiana kinyume na maumbile ndio inayo induce hii tabia ya ushoga katika jamii ,kuna watu wengi wanaingilia wake zao na vimada wao kinyume na maumbile ,wewe huna tofauti na mfiraji mwingine yeyote , ukisha tembea kinyume na maumbile unaweza lawiti mtoto wako wa kiume na kufanya huo ufirauni kwa watu wengine , so ushoga unatengenezwa na jamii yenyewe , tena wengi wameoa na wana wake na watoto ila bado ndio hao hao wanalawiti watoto wao ,ndugu zao ,watoto wa rafiki zao nk , hakuna cha single mother wala nini ,kuna watu ni mashoga na wamekuwa induced na Baba zao baada ya kuwalawiti tangu wakiwa watoto wadogo
 
NAOMBA ILE NICKNAME YA "CHARISMATIC FELLA" UPEWE WEWE KAKA MKUBWA... SIO HUYU CHIZI GENTAMYCIME ETI ANASEMAGA JF WANAMPAGA NA TUZO. FISI KABISA HUYU!

HUANDIKAGI NYUZI ZA KIPUUZIPUUZI NA UKIACHIA NYUZI NI JIWE JIWE KWELI!

MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI NA AKUZIDISHIE. TUZIDISHE IBADA NA KUPIGA VITA UOVU😔😔😔

INAUMIZA SANA!
 
Wao waendelee hivyo hivyo kuhama group watupunguzie competition kwa pisi kali.
Homosexuality kwa upande wa Wanawake ndo ipo juu zaidi Tanzania

Unatongoza anakuzingua kumbe Kuna mtu na mtu mwanamke

Unakua na mpenzi na yeye Ana mpenzi wake wa kike hasa yule best wake wa karibu kabsa Wana kiss wanafanya mambo yote

It's sad so far haya mambo yapo Muda mrefu, Atleast wangekua wanajificha bad thing they are propagating na kufanya hii issue ionekane normal na jamii which is stupidity

Homosexual people are the most frustrated people I know I am a doctor I can surely tell you this kwanza Wana high level ya substance abuse na pia Wana high level ya STDs
Morality compass Yao iko very low na thinking pattern Yao iko very feminine
SAD
 
Mashoga hadi migodini, mtu anashika ponchi afu usiku anashikwa matako
Nilijua... lazima uharibu MR.

Mwanzoni kule ulianza vizuri... huku unaanza kuvurunda. Usiwe kama yanga bana anaharibu shughuli dakika za nyongeza 😅😅👍🏾
 
Back
Top Bottom