Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Madam Kama Hizi ndo Zinachochea Ushoga.



Mshana Jr. Unachukizwa Kama Mimi Ila thread Kama Hizi Zina promote sana ni bora kukaa kimya tu.


Mark my words.
AgentX nakuelewa vizuri sana lakini hapa ndio penye mkanganyiko mkubwa kuhusu kupashana habari .. Je tuongee au tusiongee?
Baada ya kupandisha hii thread dakika chache dogo akafuta kule Twitter .. Je kumekuwa na positive impact!

CC: King Kong III
 
Tutaliepukaje hili dubwana?View attachment 2531950
He is gay and proud and Monalisa is his mother. That's awful message , I heard most Tanzanian influential figures associate themselves with gay and lesbian consumptions. Fatality of our own.


But I strongly oppose this to be linked with kataa ndoa kataa kuoa, hii kataa ndoa iendelee ila tuwajibike kama akina Baba, tafadhari kataa ndoa haihusiani na ushoga na usagaji sisi wanaume halisi wakataa ndoa hatuhusiki na ufedhuli wa ushoga na usagaji.

Sisi tastes zetu ni mnyanduano wa mbususu na dushendende
 
Nina mawazo tofauti kidogo kuhusu hili suala,tusiangalie mashoga tu tuangalie na mabasha wanaowafira hawa mashoga. Naona kama nguvu kubwa imewekezwa kwa anayefirwa bila kuangalia wanaoendelea kuwaharibu hawa vijana. Tunapokataza na kulaani mashoga tuwalaani na mabasha pia!!
 
Naona ka edit bio yake ujumbe umefika mzee
 

Attachments

  • Screenshot_20230227-204928~2.png
    Screenshot_20230227-204928~2.png
    119.6 KB · Views: 14
Nashukuru sana kwa kunijuza japo JF masihara mengi ila nimechagua jibu lako kuamini kuwa ndio jibu sahihi

Ushimen kwenye vitu vidogo kama hivi vinakutoa uaminifu, kwenye hela hali itakuwaje?
Sijakusokota mkuu, mie nilidhani ni yule fundi wa huku Lyambamgongo...😂😂
 
He is gay and proud and Monalisa is his mother. That's awful message , I heard most Tanzanian influential figures associate themselves with gay and lesbian consumptions. Fatality of our own.


But I strongly oppose this to be linked with kataa ndoa kataa kuoa, hii kataa ndoa iendelee ila tuwajibike kama akina Baba, tafadhari kataa ndoa haihusiani na ushoga na usagaji sisi wanaume halisi wakataa ndoa hatuhusiki na ufedhuli wa ushoga na usagaji.

Sisi tastes zetu ni mnyanduano wa mbususu na dushendende
Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani.. Ndani ya kampeni ya kataa ndoa hao wana wamejipenyeza humo mnasafiri mtumbwi mmoja (sio ule wa vibwengo lakini [emoji23])
 
Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani.. Ndani ya kampeni ya kataa ndoa hao wana wamejipenyeza humo mnasafiri mtumbwi mmoja (sio ule wa vibwengo lakini [emoji23])
Daah Mkuu ni hatari sana, we need to put limits who our daughters and sons should associate with, including social media who to follow and subscribe to
 
Back
Top Bottom