Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesha chelewaAmeshafuta kama dakika 2 zilizopita ilo neno "AM gay and Proud" baada ya post yako.
Alafu wanajiita kino cha jamiiHao wacha wawe tu, maana hakuna msanii mwenye fundisho kwa jamii.
Wengi wanaimba ujinga
Kutoka alipojitangaza mpaka alipofuta...
Naye si ana watoto lakini.. AsubiriView attachment 2531979
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi japo baadhi ya wadau waliona kama nauliza kimasiharaNi fundi ujenzi huku Ushirombo
... kama domo ndio hovyo kabisa; maadili sifuri. Na wajinga wajinga wanatamani kuwa kama yeye mtu ambaye hana la maana la jamii kujivunia kuanzia maudhui ya mashairi yake hadi life style ya kimalaya malaya!Hao wacha wawe tu, maana hakuna msanii mwenye fundisho kwa jamii.
Wengi wanaimba ujinga
Tatizo mnaelekea kuisha.Wao waendelee hivyo hivyo kuhama group watupunguzie competition kwa pisi kali.
Kazungukwa na mapunga... kama domo ndio hovyo kabisa; maadili sifuri. Na wajinga wajinga wanatamani kuwa kama yeye mtu ambaye hana la maana la jamii kujivunia kuanzia maudhui ya mashairi yake hadi life style ya kimalaya malaya!
Idadi inapungua pande zote mbili kumbuka kuna shoga na wasagaji.Wao waendelee hivyo hivyo kuhama group watupunguzie competition kwa pisi kali.
Ungetupia na hako kaphoto kaongeze ladha ya uziAiseee niliona picha Monalisa amemkumbatia Mwanae wa kiume tall kamzidi hadi mama yake ,kuna mdau akauliza mbona mama anamkumbatia mwanae wa kiume namna hiyo? Kuna mdau mwingine akasema watakuja kulana ,mdau mwingine akapandia huyu mwanae si shoga? Ila kwa maelezo yako Mshana Jr means Mama yake alijua kwambwa mwanae ni Boflo ndiyo maana anamkumbatia kimahbamahaba kama ntu na ntuwe.
Inasikitisha sana.