Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Hao wacha wawe tu, maana hakuna msanii mwenye fundisho kwa jamii.
Wengi wanaimba ujinga
... kama domo ndio hovyo kabisa; maadili sifuri. Na wajinga wajinga wanatamani kuwa kama yeye mtu ambaye hana la maana la jamii kujivunia kuanzia maudhui ya mashairi yake hadi life style ya kimalaya malaya!
 
Aiseee niliona picha Monalisa amemkumbatia Mwanae wa kiume tall kamzidi hadi mama yake ,kuna mdau akauliza mbona mama anamkumbatia mwanae wa kiume namna hiyo? Kuna mdau mwingine akasema watakuja kulana ,mdau mwingine akapandia huyu mwanae si shoga? Ila kwa maelezo yako Mshana Jr means Mama yake alijua kwambwa mwanae ni Boflo ndiyo maana anamkumbatia kimahbamahaba kama ntu na ntuwe.

Inasikitisha sana.
Ungetupia na hako kaphoto kaongeze ladha ya uzi
 
Back
Top Bottom