Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Nani katoa mamlaka ya sisi kuhukumu?,Mungu kamleta kama ME na yeye kaamua kuwa KE ,mimi na wewe inatuhusu nini kuhusu uamuzi wake huu binafsi?,tutafute fedha kwanza wakuu
Kweli.

Kuna mahakimu wengi sana humu.
 
This is so sad aisee.
Mshana Jr amefungua huu uzi kwa niabnzuri akiwa na hasira za kupiga vita ushoga, matokeo yake watu wameuteka nyara na kuutumia ku neutralise matendo hayo huku wengine wakiutumia kupeana codes za connections za ushoga
Natamani ufungwe lakini naona kuna mengi yanafunuliwa pia
 
This is so sad aisee.
Mshana Jr amefungua huu uzi kwa nia nzuri pia akiwa na hasira za kupiga vita ushoga, matokeo yake watu wameuteka nyara na kuutumia ku neutralise matendo hayo huku wengine wakiutumia kupeana codes za connections za ushoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtajuana na wee na shoga yakooo, mkaendelee kunizungumzia huko PM, mkiishiwaa maneno ya kutongozana mnahamia kunisema mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Poleeee mzee wa kimasikharaaa, ko usisahau kuwekaa uzi juu ya kumla shoga ako huyoo, watu wasomeeee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaaaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii napiga yoweeee
 
Serikali haijaamua kuwa serious .ukitaka maliza ushoga usiumalize kwa kufanya vya sheria .umalize kihuni

Serikali haiendeshwi kihuni.

Lazima pawe na miongozo rasmi ya kisheria INAYOTAMBULIKA.

Kama unapenda sana uhuni anza wewe kuwauwa mashoga kwa kutumia sumu halafu tuone utafika wapi.
 
Ni kama huku tu unakuta mwanaume anajiita jina la kike na anaishi humu JF kama mwanamke, huo nao ni ushoga wa kidigitali.

Ila ushoga kuuzibiti ni kazi ngumu sana tushachelewa tangu mwaka 2000 ulipoingizwa kwenye katiba ya Jamhuri ama kwa makusudi au kwa kutokujua na Bunge letu hili hili.

Usishtuke au kubisha nenda kasome Ibara ya 13 (5) ya Katiba ya Jamhuri ya 1977 vizuri na kuielewa. Ndio maana ni ngumu sana kuiona Jamhuri ikipeleka kesi Mahakamani inafahamu yatakayoibuka hayataweza kubebeka.

Na katiba ndio sheria mama, itailazimisha Mahakama kutamka kuwa sheria.zinazopinga hiyo kitu kuwa ni batili, then tutajikuta tumenasa mtegoni kama Kenya ilivyotokea. Sio kwamba wanaunga mkono ushoga ila ni wamejaa mtegoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Acha kufungua ID fake ili usumbue watu ukidhani kila mtu anataka kucheza na kinyesi. shwain
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna mda wa kufungua fake ID, afu kushobokea watu sio shida zangu, yaan mie nianze kutafuta mboo? Kwa mboo zipi hizi hizi za nyama au??

Kahangaike na rafiki yakoo huko PM. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku unakemea mtoto wa monalisa kua shoga, huku unamwambia Shoga wa JF akutafute ASAP. Mshana vipi mzee?

Unamuita mjukuu?

Hii vita mbona tumeshindwa mapema sana mazee!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unafikii sana
 
Back
Top Bottom