Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

weka picha yako ukiwa umevaa rainbow na kujitangaza kama kesho uta comment hapa
Ya nini uhangaike mke wangu?

Njoo hapa Kigamboni Kwa Mpalasinge, karibu na Kanisa la Morovian ulizia Dotto Mkerewe.

Utanikuta getto sukuma mlango sitafunga.
 
Ushoga na usagaji ni hatari sana hasa kwa sisi vijana Ila hapo kwenye ndoa bado hujanishawishi
Kijana kataa ndoa
Ndoa ni utapeli
Jali afya Yako
#Mary for your own risk
Ona hii
 
Serikali haiendeshwi kihuni.

Lazima pawe na miongozo rasmi ya kisheria INAYOTAMBULIKA.

Kama unapenda sana uhuni anza wewe kuwauwa mashoga kwa kutumia sumu halafu tuone utafika wapi.
tukiwaambia serikali haiendeshwi kihuni tunaambiwa tunatetea mashoga
 
Serikali haiendeshwi kihuni.

Lazima pawe na miongozo rasmi ya kisheria INAYOTAMBULIKA.

Kama unapenda sana uhuni anza wewe kuwauwa mashoga kwa kutumia sumu halafu tuone utafika wapi.
Swala la kuchuna ngozi mbozi,swala la albino ,kibiti,pangani ,panya road je??? Haya walimaliza kihuni
 
Yule wa mawasiliano mkwe. Siku hizi nimechoka kushangaa maana hata usiemdhania nae yuko chama kisicho na rais

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Weee kumbee....yaani vijana wa Dar wameharibikiwa mnooo...haswaa wa Kinondoni na Ubungo Bure kabisaa
Niliwahi tajiwa list ya machoko nilibaki kaaahhh!!!huamini Wengine watu wazito na status
Wako chamani[emoji4]eti hakina rais
 
Ishu ya ushoga wanasiasa wasijiingize kichwakichwa wataangukia pua, wawaachie wanadini wapambane nao maana wanayo maandiko kwenye vitabu vya dini
Wanasiasa wanaliwa na kula mashoga?!
Hawa wanatuma nauli Kwa kina deshi desh.....
Hahaaaaa
Ushoga km madawa ya kulevya usiyemdhania yumooo
 
Wanasiasa wanaliwa na kula mashoga?!
Hawa wanatuma nauli Kwa kina deshi desh.....
Hahaaaaa
Ushoga km madawa ya kulevya usiyemdhania yumooo
Sasa kama kuna wanasiasa mashoga mbona ishu hii itakuwa ngumu kupambana nayo ikiwa suala litafikishwa kwa wawakilishi wetu?
 
Weee kumbee....yaani vijana wa Dar wameharibikiwa mnooo...haswaa wa Kinondoni na Ubungo Bure kabisaa
Niliwahi tajiwa list ya machoko nilibaki kaaahhh!!!huamini Wengine watu wazito na status
Wako chamani[emoji4]eti hakina rais
Mkwe wale watu wako wengi sana. Kinachouma ni wakaka wa haja. Kuna rafiki zangu wa kiume wako kwenye chama nikipost picha wadada wananiombaga namba nawaonea huruma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom