Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Huyu shoga kila post yupo anacomment. Hajapata wa kumchana humu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Nick hivi huyo shoga unamtakaa sanaa, si umchane wazi kuwa Una mkubali, kwann unateseka nalo moyoni, fungukaaaaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Nick hivi huyo shoga unamtakaa sanaa, si umchane wazi kuwa Una mkubali, kwann unateseka nalo moyoni, fungukaaaaaa.
Dogo yule comedian ujue na ni chaklaaa hvyooo ...
 
Mmmh ngoja nizamie kufukunyua ntarudi na majibu, ukute namfahamu ila kujua kuwa n mdogo wa jembe ndo mtihani.
Hebu bwana SEMA miye codes sijui Sasa

Hua anajirikodi kuongelea kuhusu wanawake bwana
 
This is so sad aisee.
Mshana Jr amefungua huu uzi kwa nia nzuri pia akiwa na hasira za kupiga vita ushoga, matokeo yake watu wameuteka nyara na kuutumia ku neutralise matendo hayo huku wengine wakiutumia kupeana codes za connections za ushoga
 
Back
Top Bottom