Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Nani katoa mamlaka ya sisi kuhukumu?,Mungu kamleta kama ME na yeye kaamua kuwa KE ,mimi na wewe inatuhusu nini kuhusu uamuzi wake huu binafsi?,tutafute fedha kwanza wakuu
Kweli.

Kuna mahakimu wengi sana humu.
 
This is so sad aisee.
Mshana Jr amefungua huu uzi kwa niabnzuri akiwa na hasira za kupiga vita ushoga, matokeo yake watu wameuteka nyara na kuutumia ku neutralise matendo hayo huku wengine wakiutumia kupeana codes za connections za ushoga
Natamani ufungwe lakini naona kuna mengi yanafunuliwa pia
 
This is so sad aisee.
Mshana Jr amefungua huu uzi kwa nia nzuri pia akiwa na hasira za kupiga vita ushoga, matokeo yake watu wameuteka nyara na kuutumia ku neutralise matendo hayo huku wengine wakiutumia kupeana codes za connections za ushoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaaaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii napiga yoweeee
 
[emoji1787][emoji1787]
Unaona wivu Mtoto amekuzidi Maisha ongezea pia anasoma Feza International school wakati huo wako anakimbizana St. Kayumba na vidumu na fagio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali haijaamua kuwa serious .ukitaka maliza ushoga usiumalize kwa kufanya vya sheria .umalize kihuni

Serikali haiendeshwi kihuni.

Lazima pawe na miongozo rasmi ya kisheria INAYOTAMBULIKA.

Kama unapenda sana uhuni anza wewe kuwauwa mashoga kwa kutumia sumu halafu tuone utafika wapi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Acha kufungua ID fake ili usumbue watu ukidhani kila mtu anataka kucheza na kinyesi. shwain
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cna mda wa kufungua fake ID, afu kushobokea watu sio shida zangu, yaan mie nianze kutafuta mboo? Kwa mboo zipi hizi hizi za nyama au??

Kahangaike na rafiki yakoo huko PM. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku unakemea mtoto wa monalisa kua shoga, huku unamwambia Shoga wa JF akutafute ASAP. Mshana vipi mzee?

Unamuita mjukuu?

Hii vita mbona tumeshindwa mapema sana mazee!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unafikii sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…